Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivyotuma umepata ujumbe gani?Nimesha tuma ila sijaona password Katika email yangu
Wengi wako upande Gani kalani na wasimamiziKalani,wasimamizi ni wachache.
Mtaalamu, baada ya kufanikiwa ku submit, huu ujumbe kwenye email wamekutumia ndani ya muda gani, maana nimeomba ila kila nikiangalia email hamna jipyaMbn wamenitumia password nikieka inagoma msaada hapo kweny iyo passwordView attachment 2213933
Ha haaaaa au achore na mark penHapo anatia saini na dole gumba tu kawaida Kama una wino wa mhuri anachovya then anaweka hapo kwenye sehemu ya dole gumba Kama huna wino chukua dole gumba lake chora na kalamu mpka likolee then weka hapo
Huwez kuedit tena mkuuNimejaza msimamizi wa maudhui nimeshaprint but nataka Ku edit niweke karani nafanyaje?
Duh nasikia wasimamizi wa maudhui ni wachache?Huwez kuedit tena mkuu
Huwez kuedit tena mkuu
Yah wachache na wengi ni watumishi , maybe watatoa muda wa kuedit maombi ila kwa sasa huwez.Duh nasikia wasimamizi wa maudhui ni wachache?
Namba ya simu unaweza edit?Baadhi ya taarifa unaweza edit ila sio vyeti na picha ukishakosea ndo imeisha na Kama pia ukikosea kuapload barua iliyosainiwa ndo basi Tena system kwako inakua (inajifunga)imekamilisha Kuwa maombi yamepokelewa Kama Kuna sehemu hukusaini basi Tena subri maajabu ya mungu labda Kama wataongeza vipengele vya kuedit form
Mm nili edit Jana ila Leo nilikuwa nataka edit kata Ina kataa nahic wameona ndio sehemu ya kupunguza watuNamba ya simu unaweza edit?
Wafungulie email mbona rahis tuWadhamin kama hawan email tunawafanyaje wadau
Jaribu baadaeHeb sadia hapa
Niki upload vyeti inakataa itakuwa shida ni nn
Inaandikia no file selected
UnawezaNimejaza msimamizi wa maudhui nimeshaprint but nataka Ku edit niweke karani nafanyaje?
Unaedit vipi?Unaweza