Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Ngazi ya kata wataletewa majina 100 kutoka NBS kwa lengo la kufanya usahili ili wabaki 50.....Huu ni mfano wa itakavyokuwa na hizo fomu zilizobaki pale ofisini kwao hazina maana

Ndio maana majina yakitoka utayakuta kwenye tovuti yao na kwenye ofisi ya kata ulioomba kufanya hiyo kazi na watakupa tarehe ya kwenda kufanyiwa usahili katika kata/wilaya husika
Sasa mchezo sindo umeisha yani jina likirudi nimemaliza maana hapo kata sina kipingamizi
 
Sasa mchezo sindo umeisha yani jina likirudi nimemaliza maana hapo kata sina kipingamizi
Kata au wilaya......kwa wale waliopo dar es salaam majina yao yanaweza kuwa processed na kufanyiwa udahili kwenye kata zao kwasababu ya population yao ila wale Wa mikoani watafanyiwa kwenye halmashauri zao
 
Kata au wilaya......kwa wale waliopo dar es salaam majina yao yanaweza kuwa processed na kufanyiwa udahili kwenye kata zao kwasababu ya population yao ila wale Wa mikoani watafanyiwa kwenye halmashauri zao
Kamanda usitunge vitu hebu rejea kwenye tangazo lile halafu soma kwenye utangulizu.
 
Kata au wilaya......kwa wale waliopo dar es salaam majina yao yanaweza kuwa processed na kufanyiwa udahili kwenye kata zao kwasababu ya population yao ila wale Wa mikoani watafanyiwa kwenye halmashauri zao

Si walishasema kwamba wasimamizi wa tehama halmashaur na karani na wasimazi wa maudhui kwenye kata husika why mnajitungia tuuu
 
Kata au wilaya......kwa wale waliopo dar es salaam majina yao yanaweza kuwa processed na kufanyiwa udahili kwenye kata zao kwasababu ya population yao ila wale Wa mikoani watafanyiwa kwenye halmashauri zao
Sawa mkuu ngoja tuone yakitimia nitakuweka kwenye lile kundi la trusting source
 
Mbona majina yalishatoka kitambo Sana jaman...
Screenshot_20220603-182025.jpg
 
Back
Top Bottom