Sepa tu it's worth it mkuuKuna umuhimu wa kutoa majina mapema hata kama semina itachelewa kwani wengine safari zetu za nje ya nchi tumeghairisha tukisikilizia huu mchongo ilibidi mida hii niwe UK napiga madili.
Kimasihara imekuponzaMimi alinichukia kisa mwanamke
Sikuambiwa mapema kumbe UK yenyewe ni UKerewe kule visiwa vya ziwa Victoria dah! bora nikomae kuuza ukwaju Dar mipango ya ughaibuni nimeshaghairi.Sepa tu it's worth it mkuu
Uzi pendwa kwetu...sie ambao hatupo TRA, Bandari, TCRA na kwenginekoHuu uzi bwana.....🤣🤣🤣
Hali mbaya!! Sio kitotoUzi pendwa kwetu...sie ambao hatupo TRA, Bandari, TCRA na kwengineko
Unga unga mwanaHuu uzi ni wadau wa
#Pangu pakavuu [emoji36][emoji36]
tia mchuzi
[emoji56]sahiihiiUnga unga mwana
[emoji56]sahiihiiUnga unga mwana
Mkuu mbona umeutelekeza ule Uzi wa GasUsitake kulisha watu matango pori
Wewe ndio wa hovyo unawadanganya vijanaKumbe Tanzania hii kuna vijana wa hovyo kabisa majina ya sensa yamebandikwa toka jana katika ofice za selikali ya mitaa
Huu uzi ushakosa maana baada ya kuvamiwa na vijana wa hovyo ngoja niuignore nitarudi baada ya mkeka kuja kutoa pole na pongezi humu.Wewe ndio wa hovyo unawadanganya vijana
Sisi wengine tunafanya kazi kwenye hizo kata. Hakuña na kitu kama hichoKumbe Tanzania hii kuna vijana wa hovyo kabisa majina ya sensa yamebandikwa toka jana katika ofice za selikali ya mitaa
Unachokitafuta humu utakipata, hii sio FB.Kumbe Tanzania hii kuna vijana wa hovyo kabisa majina ya sensa yamebandikwa toka jana katika ofice za selikali ya mitaa
Kumbuka hao ni watu ambao wameshafanyiwa usaili na kufaulu huo usailiKuanzia hapo mkeka unaweza kutokaView attachment 2264390
Sasa kila mtu anataka hii kazi tu, wengine subirini kuhesabiwa tu jamani duh [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Sensa ni tarehe 23 August.
-Zoezi zima la semina elekezi itachukua kama siku 21.
-Kusambaza vishkwambi kama siku 5
-Ukaguzi siku 3
- Vikao vya ndani siku 5
-Kupangwa/ku survey maeneo/kusaini form za mkataba kama siku 3 hadi 5.
-Majibu baada ya usahili siku 3 mpaka 5.
-Siku 7 hadi 10 za kujiandaa kabla ya usahili.
-Usahili siku 1
NB: Ni makadirio kwa uzoefu na siyo kwamba ndo ratiba
23-21+(31)-5-3-5-5-5+(30)-10-1=29±3
(26Jun hadi 02July)