Hizo milioni 3 zitatokana na nyanya au sensa?Me ndo napenda.. maana hyo mida ni mitamu sana itakuwa nishamaliza kumwagilia nyanya zangu, Huku hela ya sensa inaingia then nakuja kupata hela ya nyanya.. Mwanamume mipango.. yaan isipokaa millions 3 mkononi miezi hyo sijui..
Nyanya ni Zaid ya 1.8m hii nyingine nadhani sensa itaongezea, mwaka huu Kuna mpunga sana kwenye sensa asikwambie mtu mkuuHizo milioni 3 zitatokana na nyanya au sensa?
Hahahaaa mipango si matumizi mkuu, angalia usije ukabaki unalalama hapaNyanya ni Zaid ya 1.8m hii nyingine nadhani sensa itaongezea, mwaka huu Kuna mpunga sana kwenye sensa asikwambie mtu mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23] kulalama kwa hasiraHahahaaa mipango si matumizi mkuu, angalia usije ukabaki unalalama hapa
Kama sensa jina langu lipo labda labda nizingue mwenyeweHahahaaa mipango si matumizi mkuu, angalia usije ukabaki unalalama hapa
Jina lako kuwepo ni jambo moja na malipo manono ni jambo lingine!Kama sensa jina langu lipo labda labda nizingue mwenyewe
Dah tutafika tumechokaInterview za utumishi zinakuja kuvurugia watu ratiba sasa ndio utachagua kusuka au kunyoa [emoji1787]
Leo ama kesho mambo yanaweza kuwa mubashara19 May, 2022.
19 June, 2022.
Next 19July, 2022.
Hawa jamaa tatizo nini?
Tunaopata stress ni sisi majobless, toeni mkeka ili tuhamishe mawazo kwenda sehemu nyingine.
Hizi ramli zenu ndio zinazotupa stress zaidiLeo ama kesho mambo yanaweza kuwa mubashara
Ila ikivuka kesho bas mi natemana nao
Ee Mungu saidia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hizi ramli zenu ndio zinazotupa stress zaidi
Bado kuna field hapo kwa wale wakusoma mambo lazma yavuruganeInterview za utumishi zinakuja kuvurugia watu ratiba sasa ndio utachagua kusuka au kunyoa [emoji1787]
Wewe muongo sanaAsante mkuu kwa kunielewa usalama wa taifa wametanda kila mahali na hasa ukizingatia unyeti wa jambo hili la kitaifa...ngoja nikupe stori moja Mimi ilinitokea..Mimi NI mtumishi wa umma taasisi flan ya Kanda flan ikiwa chini ya wizara flan Sasa Kuna siku bhana moja ya wakala zetu wakatupa kazi tuwafanyie lengo pasu kwa pasu nadhani unaelewa mambo ya kufunga mwaka wa fedha,kosa nililofanya NI kumwambia TU rafiki yangu juu ya pesa ambayo ningeipata it was around 3 M.. huwezi amini rafiki yangu alilewa siku iliyofuata Mimi kwenda bar kumfuata ile kuniona TU kaanza kuropoka oya ndege week ijayo unapiga hela blah blah za kilevi unajua...kumbe usalama umetanda Sana huwezi amini jumatatu yake tulipata shida balaa Mara takukuru waje watukague mpk dakika ya mwisho kazi ikaingia nongwa na wakanionya Sana juu ya kutoa Siri za ofisi just imagine rafiki yangu kuropoka Tena sio bar kubwa NI kwenye ka grocery TU ndo maana nakwambia usichukulie poa kutoa Siri Kama hizi...nasema yote haya kwa kuwa umeweka picha yako katika avatar hivyo NI rahisi Sana wazee wa kitengo kupitia pitia Uzi huu na ukapata shida.
Sana haikai, maana huyo jamaa ni muongo kishenzi.Wewe muongo sana
Ni moya kwa moya kama Ile ya Simba guvu moyaHivi watakaochaguliwa ni moja kwa moja semina au kuna mchujo tena!?.
Ubaya wa hii nchi hakuna updates zozote, hawa mabwenyenye hawajali hisia za wanaowatumikia.
Tuombe tuwemo tu.Ni moya kwa moya kama Ile ya Simba guvu moya