Mchunguzi Fukara
JF-Expert Member
- Dec 23, 2021
- 215
- 274
Inasikitisha sanaSasa mkuu kwa kuangalia tuu na akili ya kawaida kulikuwa na haja gani yakumtumia mjomba nauli angali na wewe una dole gumba? Unadhani ni mfumo gani watatumia kugundua ilo dole gumba ni la anko kutoka tabora?, tena kutoka kwenye karatasi mifumo mingine ipo tuu ili malengo yatimie......pole
Nbs nawaona wanapita pita humu kuona uhuni mliofanya kwenye maombi yenu.Sasa mkuu kwa kuangalia tuu na akili ya kawaida kulikuwa na haja gani yakumtumia mjomba nauli angali na wewe una dole gumba? Unadhani ni mfumo gani watatumia kugundua ilo dole gumba ni la anko kutoka tabora?, tena kutoka kwenye karatasi mifumo mingine ipo tuu ili malengo yatimie......pole
Inasikitisha sana mniombee mungu majina yatoke na mimi niwemo nitawashukuru nitawapeleka kitambaa cheupe sinza ama kinondoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulituma nauli na madole gumba unayo kabisa we jamaa hauko serious
Na ndio hawa walokuwa wanajitia midole ngumba yao badala kuweka midole gumba ya watu husika wao wanatia tu bila kufuata procedures ndio waliosababisha NBS watupige chini waitwe wale postCode na ndio wanaoendelea na seminaNbs nawaona wanapita pita humu kuona uhuni mliofanya kwenye maombi yenu.
Uhuni gani ?,system haina ufanisi ukweli usemwe ili wabadilishe mfumo uendane na wanachokitaka huo mfumo ulihitaji biometric fingure recognition ambayo tungetakiwa kuwa na data base kubwa zenye hizo prints za kila mtuNbs nawaona wanapita pita humu kuona uhuni mliofanya kwenye maombi yenu.
Na ikawe kama ilivyo tu mzee mi nishaapia [emoji3][emoji3]Ya utumishi yawai tupige interview na hivi hatuendi tena Dodoma tukitoka hapo tunapoa kusubiria mikeka utumishi
Sensa inakuja jina unalikuta unaifanya unakusanya zako visenti hadi inaisha mkeka wa kuripoti kituoni huo hapo unaripoti huku umejaa
Unaanza kuwa Mac muga
Utasema kweli yaani kumbe kwa ground mambo tofauti [emoji2] sema kuna watu watapia haya niliyoandika
Wee jifanye much know tu, nbs hawana vigezo vya kuprone watu, wanatafuta vijisababu kama hivyo wakule kichwa.Uhuni gani ?,system haina ufanisi ukweli usemwe ili wabadilishe mfumo uendane na wanachokitaka huo mfumo ulihitaji biometric fingure recognition ambayo tungetakiwa kuwa na data base kubwa zenye hizo prints za kila mtu
Wacha waprun tuu kwa kigezo cha kutokukubaliana na system yao,endelea kukaa hivyo hivyo kwa kuogopa kukosa ajira ya mwezi mmoja ambayo huna uhakika nayoWee jifanye much know tu, nbs hawana vigezo vya kuprone watu, wanatafuta vijisababu kama hivyo wakule kichwa.
Basi ngoja niamini kwamba wataalam waliopropose wadhamini kusaini kwa kidole ni wajinga na kwamba walikuwa na lengo la kuwatisha waombaji waoga kama mimi.Wacha waprun tuu kwa kigezo cha kutokukubaliana na system yao,endelea kukaa hivyo hivyo kwa kuogopa kukosa ajira ya mwezi mmoja ambayo huna uhakika nayo
Utabili wangu uko palepale kabla ya tarehe 23 mwez 8 majina yatakua yametoka sema tawile[emoji16][emoji16]Ogopa sana members wa mtandao unaitwa JF, humu wapiga ramli tumo wengi sana
The way mtu anacomment unaweza zani ni ukweli kabisa ,kuna mwingine hapo juu yeye kajitungia hadi ratiba yake..,
Jf raha thana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawana teknolojia hiyoWee jifanye much know tu, nbs hawana vigezo vya kuprone watu, wanatafuta vijisababu kama hivyo wakule kichwa.
Sawa hawana teknolojia hiyo, watu kama nyinyi ndo nmafanya vijana wengi wasiaminike waonekane ni watu wa forgery, ndo maana wanasubiri walimu tu wamalize muhula.Hawana teknolojia hiyo
Mimi mwenyewe nilikuwa muombaji na pia nikawa mdhamini nimetumia madole gumba yangu
Tutakutana nao huko huko kwenye semina na si ajabu tutawatongoza huko huko hao madamSawa hawana teknolojia hiyo, watu kama nyinyi ndo nmafanya vijana wengi wasiaminike waonekane ni watu wa forgery, ndo maana wanasubiri walimu tu wamalize muhula.
Kweli naona hapaTBC inarusha matangazo ya kufunga mafunzo ya kitaifa kwa wakufunzi wa sensa leo muda huu kama uliomba fatilia ili upate habari
Kweli kabisa maana kuna watu kwenye anuani za makazi walipigwa na kitu kizito kwenye malipo.Hahahaaa mipango si matumizi mkuu, angalia usije ukabaki unalalama hapa
Chanell10 pia iko live, kufunga mafunzo ya wakufunzi wa sensa.Wakimaliza kufunga mafunzo wafungue na Majina yetu sasa.