Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Kikao cha leo na waandishi wa habari, kamati za sensa wilaya zimeambiwa kuanzia tareh ya leo 6 mpaka 26 ziwe zimetoa majina na usaili ufanyike ndani ya hizo tarehe maana semina na mafunzo ya makarani zitakua tareh 29 julai hadi 18 agosti
Daah mbona semina iko mbali sana
 
[emoji16][emoji16] daah wenye bifu na watendaji imekula kwetu
 
Khaaaaaaaah nimeghaili, Pesa yote hiyooo? Kweli hii ni tz ya Michongo[emoji849]
 
Mkuu mfano kwenye kitongoji kimoja ni makarani wangapi watahusika kuhesabu watu kwa huku kijijini?
 
Hivi usahili ni interview au mi nachanganya mambo hapa??
 
Kwa hiyo wale ambao hawakuacha kopi kule katani inakuaje? Ina maana NBS hawatatuma majina Katani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…