Mkuu ni Hela ndogo Sana Hiyo hawawezi kutoa hiyo pesa.700,000Tsh ÷ 31 Days = 22,580 Tsh per day.
Hela ndogo.
Mkuu Hiyo Copy Haina Ishu Sanaa.Kwa hiyo wale ambao hawakuacha kopi kule katani inakuaje? Ina maana NBS hawatatuma majina Katani?
Fafanua vzr mkuu,Usiite majina mkuu, kata wataombwa na nbs kutuma majina ya vijana ambao copy zao zipo ofisini na verification kwamba ni wakaazi wa huo mtaa then nbs itawaweka kwenye list, haina guarantee kwamba majina atakayopeleka mtendaji ndio atapewa kazi..NO.. Na huu ndio ukweli.[emoji120]
Hiyo Ni nadharia Mkuu Wala usiwe na presha.Fafanua vzr mkuu,
Kwamba Kata ndiyo watatoa majina kwa nbs badala ya nbs ndiyo wawape majina Kata kwa hoja kuwa ni ili nbs wajiridhishe kuwa muombaji ni mkazi wa eneo husika.
Mkanganyiko wangu ulipo ni kwa nin nbs wawe na mashaka na muombaji kuwa mkaazi wa eneo husika haliyakuwa wakati wa kutuma maombi kuna fomu ilikuwa inajazwa na muombaji,wadhamini wake lakini pia uongozi wa serikali ya mtaa/kijiji kwa maana ya mtendaji wa mtaa.
Swali langu.
Mtendaji wa mtaa/kijiji aliwezaje kumsainia fomu muombaji na ikatumwa nbs bila yeye kujiridhisha kama muombaji ni mkaaji halali wa eneo husika na kama hiyo haitoshi akachukua nakala ya fomu hiyo na kubaki nayo ofisini kwake na sasa hao nbs bado warudi tena kutaka ushahidi wa ukaazi wa muombaji kwenye eneo husika?
205,000÷187=~1,100 (idadi ya makarani na wasimamizi humohumo kwa halmashauri).Na makarani wangapi.
Wasimamizi huwa wanakuwepo kuanzia ngazi ya kijiji/mtaa na sio kata. Acheni kuongea vitu msivyovijuwa inaonekana humu wengi wenu hamkuwahi kushiriki hili zoezi.kila kata wasimamizi wanakua 2
Hivi ulishawahi kushiriki zoezi lolote la Sensa toka uzaliwe?Hiyo Ni nadharia Mkuu Wala usiwe na presha.
NBS hawawezi na hawana muda wa kuhakiki kuwa huyu MTU ni mkazi wa Kata husika Kwa Namna yoyote ile hasa ukizingatia muda umeenda Sana.
Na ndo maaana ili Zoezi la uhakiki linafanywa Kwa kiasi kikubwa na Watendaji wao ndo kila Kitu.
NBS wao uhakiki wao ni kuangalia zile taarifa ulizotuma ni Sahihi na zinaohana na TAARIFA za Watendaji.
NBS hawana ishu KUBWA hapo
Mchawi Ni Mtendaji Yeye Ndo Kila Kitu.
Hivi ulishawahi kushiriki zoezi lolote la Sensa toka uzaliwe?hahaaa, maana anaonkna mjuaj e
Usiishi kwa kukariri aisee, mambo hubadilika.Hivi ulishawahi kushiriki zoezi lolote la Sensa toka uzaliwe?
Kilichobadilika ni mfumo tu wa kutoka sensa ya analojia na kuwa sensa ya kidigitali lkn taaratibu zote za ufanyikaji wa Sensa ni zilezile. Tuache kuzungumza/kuongea tusiyoyajuwa.Usiishi kwa kukariri aisee, mambo hubadilika.
Kwahyo kama bei gani naokota vileKilichobadilika ni mfumo tu wa kutoka sensa ya analojia na kuwa sensa ya kidigitali lkn taaratibu zote za ufanyikaji wa Sensa ni zilezile. Tuache kuzungumza/kuongea tusiyoyajuwa.
Hapo mdau wangu mfuko wa shati lazima kibunda cha milioni+ kiwepo nadhani mitaa ya masenze watakukoma.Kwahyo kama bei gani naokota vile
Kakudanganya pakubwa sana...kukaa karibu na mahakama sio kujua sheriakuna jamaa nmemuuliza yupo halmashauri kasema mwisho wa huu mwezi ndo majina yanatoka
Hata huyo jamaa yako usimuamini sana, wao wenyewe wanategemea taarifa kutoka NBS kwa namna moja yeye na wewe hakuna tofauti. Cha msingi muda ndio utakao amua.kuna jamaa nmemuuliza yupo halmashauri kasema mwisho wa huu mwezi ndo majina yanatoka
Muda uliobaki ni mchache mno, subira ndio kitu.Majina hayajatoka tuu
utanithibitishia ww kiongoz mm nmekwambia mwishonKakudanganya pakubwa sana...kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria