Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Kwamba me ndo sijaelewa ama??? Yaan wana ajiraportal wenzangu wakati sisi tunasubiri majina yatoke sijui usaili, kumbe wao washavuka hiyo hatua, wao wako wanaendesha mafunzo kwa ngazi zote. Ni ngumu kumeza asee
2022-06-30 21.51.56.jpg
 
Kwamba me ndo sijaelewa ama??? Yaan wana ajiraportal wenzangu wakati sisi tunasubiri majina yatoke sijui usaili, kumbe wao washavuka hiyo hatua, wao wako wanaendesha mafunzo kwa ngazi zote. Ni ngumu kumeza asee
View attachment 2277742
Mkuu relax, kunywa maji au juice ya bariiiidi afu rudia kusoma tena hope utaelewa hiyo taarifa.




Ova.
N.b watendaji wameanza semina leo mjini iringa so before 4/7 majina yatakua mikononi mwenu
 
Mkuu relax, kunywa maji au juice ya bariiiidi afu rudia kusoma tena hope utaelewa hiyo taarifa.




Ova.
N.b watendaji wameanza semina leo mjini iringa so before 4/7 majina yatakua mikononi mwenu
Uwiii mpaka watoke huko watendaji si ni mwezi wa nane
 
Mkuu relax, kunywa maji au juice ya bariiiidi afu rudia kusoma tena hope utaelewa hiyo taarifa.




Ova.
N.b watendaji wameanza semina leo mjini iringa so before 4/7 majina yatakua mikononi mwenu
Mkuu inawezekana nilianza kujua kusoma kabla yako na haina haja ya mimi kurudia kusoma hiyo post.

Na usivyojua chochote, unataka kutuambia watendaji wote nchi nzima wako semina Iringa???
 
Huwezi amini katika barua moja ya mdhamini pasipo kujua nilimuweka mjomba wangu alikuwa Tabora nikaunga nauli nikamtumia akaja kutia dole ngumba lake moja nikaunga nauli ya kumrudisha Tabora. Sasa inakuaje tena mnaleta habari za wale waliohusika na postcode kuwa must be wawekwe tena kwenye ukarani bila kipingamizi. Daah inasikitisha sana
Sasa mkuu kwa kuangalia tuu na akili ya kawaida kulikuwa na haja gani yakumtumia mjomba nauli angali na wewe una dole gumba? Unadhani ni mfumo gani watatumia kugundua ilo dole gumba ni la anko kutoka tabora?, tena kutoka kwenye karatasi mifumo mingine ipo tuu ili malengo yatimie......pole
 
Uwiii mpaka watoke huko watendaji si ni mwezi wa nane
Mafunzo ya wakufunzi ambayo yameendeshwa kwa 21 days yanafungwa kesho na makamu wa pili wa Rais wa SMZ, hao wako mia nne na ngapi huko na ndo wanakuja huku chini kufundisha timu za mkoa na wilaya, muwe mnaangalia taarifa za habari aisee.
 
Sasa mkuu kwa kuangalia tuu na akili ya kawaida kulikuwa na haja gani yakumtumia mjomba nauli angali na wewe una dole gumba? Unadhani ni mfumo gani watatumia kugundua ilo dole gumba ni la anko kutoka tabora?, tena kutoka kwenye karatasi mifumo mingine ipo tuu ili malengo yatimie......pole
Ogopa sana members wa mtandao unaitwa JF, humu wapiga ramli tumo wengi sana

The way mtu anacomment unaweza zani ni ukweli kabisa ,kuna mwingine hapo juu yeye kajitungia hadi ratiba yake..,

Jf raha thana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwezi amini katika barua moja ya mdhamini pasipo kujua nilimuweka mjomba wangu alikuwa Tabora nikaunga nauli nikamtumia akaja kutia dole ngumba lake moja nikaunga nauli ya kumrudisha Tabora. Sasa inakuaje tena mnaleta habari za wale waliohusika na postcode kuwa must be wawekwe tena kwenye ukarani bila kipingamizi. Daah inasikitisha sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulituma nauli na madole gumba unayo kabisa we jamaa hauko serious
 
Ya utumishi yawai tupige interview na hivi hatuendi tena Dodoma tukitoka hapo tunapoa kusubiria mikeka utumishi

Sensa inakuja jina unalikuta unaifanya unakusanya zako visenti hadi inaisha mkeka wa kuripoti kituoni huo hapo unaripoti huku umejaa

Unaanza kuwa Mac muga



Utasema kweli yaani kumbe kwa ground mambo tofauti [emoji2] sema kuna watu watapia haya niliyoandika
 
Back
Top Bottom