kalemauji
JF-Expert Member
- Jun 24, 2014
- 1,552
- 1,661
Umemuuliza swali zuri sana, atuletee majibu hapa kuna watu wanajifanya wajuaji sana aisee, muda ndio utakao amua ipi mbivu na ipi mbichi?Vipi ikiwa waombaji wote kwenye kata husika wanamakosa hayo au asilimia kubwa wapo hivyo watatumia na nafasi zipo wazi vigezo gani vitatumika ?