Dorome
JF-Expert Member
- Nov 11, 2021
- 397
- 746
28/7Nakazia zaidi shule zinafungwa tarehe 26.07
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
28/7Nakazia zaidi shule zinafungwa tarehe 26.07
Hii siyo ramli kweli?Hakuna usaili NBS wamepokea malalamiko mengi ya hofu ya haki kutotendeka huko ambako usaili utafanyika hivyo wameamua kuwa waamuzi wa mwisho.
Omba Mungu jina lako liwepo kwenye mkeka wa NBS
Taarifa hizi mnapata wapi aisee[emoji3][emoji848]Hakuna usaili NBS wamepokea malalamiko mengi ya hofu ya haki kutotendeka huko ambako usaili utafanyika hivyo wameamua kuwa waamuzi wa mwisho.
Omba Mungu jina lako liwepo kwenye mkeka wa NBS
Yapo kwa watendaji na kuna halmashauri moja next week wanausailiHayo majina yako wapi?
Wewe bwana kwa nini usikubali tu ni jobless, kujifanya mtendaji ya nini wakati huna Ramani ,hii ndo inafanya watu wakose Imani na watendaji
Siwezi kulazimisha uamini ila ndo ujue hivyo huku tupo watu wa kila aina na si kila taarifa inatolewa uiamini rejea uzi wa Dark day ukielewa kilicho andikwa mule ndo utaweza elewa nachosemaWewe bwana kwa nini usikubali tu ni jobless, kujifanya mtendaji ya nini wakati huna Ramani ,hii ndo inafanya watu wakose Imani na watendaji
😁😁😁😁Hii comment yako umeanza kama mtendaji lakini umemaliza kama jobless, kweli vituko haviwezi kuisha
nakaziaNmepitia comments zako mbili za mwisho, nmejiridhisha pasina shaka kuwa una chuki na degree holders, unaleta kigezo cha kujuana na watendaji mara wameanza kutumia smartphone wakiwa chuo... Mkuu stay calm hauna point yoyote tukutane kwenye usaili.
Over.
Wakuu za ndani kabisa kutoka nbs ..posho ni 80,000/day
Utafanya watu waanze kuichukia Serikali yao wakikosa hizo nafasi...80,000 per day sio mchezoWakuu za ndani kabisa kutoka nbs ..posho ni 80,000/day
Hiyo inawezekana kabisa MkuuWakuu za ndani kabisa kutoka nbs ..posho ni 80,000/day
Ha ha haHahahaha watu 80000 zinawachanganya..jitahidi muajiriwe maofisini mle per diem za rate hio mpya ya mama Samia mzoee kushika hela.tatizo watu wengine NI wasomi mpo jamii forum kwa wajanja lakini hata ajiraportal hamuingii wengine account ya ajiraportal hamna mnasubiri kuitwa kazini..pambaneni asee hakunaga connection NI ujanja wsko,+akili yako+haiba yako+bahati yako....mnashangazwa na 80000 wakati ndo rate husika ya mtumishi au mmesshau km hizi pia NI Ajira isipokuwa za muda..ombeni days ziwe 35 km walivyosema ktk mwongozo before ratiba hakuishake.
Sizitaki mbichi hizi [emoji85]Hizi Nafas walimu ndo wanazitolea macho hatari wanaomba leo Kesho wazipate.
Kidogo sana angalau 130000 wilayani na 150000 kwa jiji/manispaaWakuu za ndani kabisa kutoka nbs ..posho ni 80,000/day
Nakumbuka miaka ya nyuma huna kazi ulikuwa unalalamika kweli [emoji16] ukaja na uzi watu waajiriwe kwa mikataba wapishe wengine kwa zamu zamuHahahaha watu 80000 zinawachanganya..jitahidi muajiriwe maofisini mle per diem za rate hio mpya ya mama Samia mzoee kushika hela.tatizo watu wengine NI wasomi mpo jamii forum kwa wajanja lakini hata ajiraportal hamuingii wengine account ya ajiraportal hamna mnasubiri kuitwa kazini..pambaneni asee hakunaga connection NI ujanja wsko,+akili yako+haiba yako+bahati yako....mnashangazwa na 80000 wakati ndo rate husika ya mtumishi au mmesshau km hizi pia NI Ajira isipokuwa za muda..ombeni days ziwe 35 km walivyosema ktk mwongozo before ratiba hakuishake.