Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nichekie wilaya ya MaguPwani mkurangaView attachment 2293861
Mnaangalizia wapi wakuu tupeane link bas au yanatumwa kwenye magroup ya watsap mana si website za NBS, Tamisemi wala za mikoa au wilaya kote chenga tupuTanga wametoa mkinga tu hadi saiv kwengine kote bado [emoji1787]
Mkuu ww uliombea wilaya ya NkasiUkipata wilaya ya nkasi ni tag. Ukipata wilaya ya kibaha mji pwani nitag
Umesema kweli Hilo lengo la kuwaweka masheha wakaripoti saa 2 kabla ya usaili ni kuwakata wakristo wakiamini hawawezi kuwa wazanzibar nawajua hao viumbe wanaroho mbaya na ni wabaguzi balaaa subiri majina yatoke ndo utaamin vzrUdini unewakaa sana ndio mana ukifika pemba ni magofu tu na harufu za mashombo ya samaki na mapweza, roho mbaya zimewajaa zaidi ya shetani firauni. Akipata mkristo kazi ya sensa zanzibar mm na kwenda kujilipua na petrol.
Haya hapaView attachment AJIRALEO.COM_JIJI LA MWANZA.pdfMWENYE UWEZO WA KU DOWNLOAD MAJINA KWENYE WEB YA MWANZA CC ATUSAIDIE
View attachment 2293954
Mtu umesoma lakini bado unalialia sasa elimu imekusaidia nini nonsensemimi naona ni bora wapewe jobless wa elimu ya juu kuanzia diploma na kuendelea wapate mitaji hasa upande wa makarani.
Acha utapeliKama unataka kutazamiwa jina lako, njoo inbox haraka
Gharama ni Tshs 250 (mia 2 na 50 tu)
lipa kwa Mpesa
huduma hii ni kwa nchi nzima
nipe mkoa ulipo tu, na majina yako nitakwambia kata yako ndio unilipe..
mwanza cc
View attachment 2293980
Acha utapeli. Hautakufikisha popoteKama unataka kutazamiwa jina lako, njoo inbox haraka
Gharama ni Tshs 250 (mia 2 na 50 tu)
lipa kwa Mpesa
huduma hii ni kwa nchi nzima
nipe mkoa ulipo tu, na majina yako nitakwambia kata yako ndio unilipe..
mwanza cc
View attachment 2293980
SHINDWA PEPO!!Kama unataka kutazamiwa jina lako, njoo inbox haraka
Gharama ni Tshs 250 (mia 2 na 50 tu)
lipa kwa Mpesa
huduma hii ni kwa nchi nzima
nipe mkoa ulipo tu, na majina yako nitakwambia kata yako ndio unilipe..
mwanza cc
View attachment 2293980
Kinondoni bado, hadi keshokutwaMajina ya Kinondoni mwenye nayo atupie.
Pepo bibi yakoSHINDWA PEPO!!