Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Inawahusu hii
JamiiForums-2110823458.jpg
 
NBS wamefanya uhuni mkubwa kwa majobless wenye degree kwenye kazi za muda za sensa

Nafasi ya Msimamizi wa Maudhui imewekwa kama geresha tu kwakua tayari walishapanga watu wao ambao ni walimu wakuu na wengi walioomba hizo nafasi ni vijana wenye bachelor.

Nafasi ni 3 kwa kila kata hii ni kwa Tanzania nzima na hawakusema hapo awali ambapo pia Nafasi hizo ni za Walimu wakuu pekee..Huu ni uhuni na ubabaishaji wa khali ya juu.

Wenye mamlaka bado mna muda wa kubadilisha hili ili kila mwenye sifa na vigezo aweze kupata achaneni wa hao walimu wakuu wameshalamba asali vya kutosha,wapeni nafasi vijana wajikwamue kiuchumi.Mkishindwa kabisa wasogezeni kwenye ukarani ila sio kuwapotezea kabisa,hii itawavunja moyo wa kulipigania taifa lao.Nawafahamu vijana wengi wenye akili ya maisha ukimpatia laki 5 cash each ameshatoboa na hatowasumbua tena masuala ya ajira..[emoji120][emoji120]

Hii nchi yetu sote acheni unaa
 
Watu wanashindwa kuelewa kuwa kuna kata unakuta wanahitaj watu 50 na waliofika kwenye usaili unakuta 40 hapa hakuna shida na wala huhitaji koneksheni ya aina yoyote kupata huu mchongo lakin kuna kata nyingine zimechangamka kidogo yan mahitaji ya kata ni 60 na mliofanya usaili ni 180,humo ndani kwenye ile panel kila mtu pale ana watu wake wa karibu nao wanamtegemea kupata huu mchongo,sasa hapa kuna shda lazma ujijumlishe wew mwenyewe kupata huu mchongo na ikiwezekana unaweza hata tumia TOTAL SAE 40 kulainisha injini .bt all in all kuna watu watapata hizi kazi kimaskhara kabisa na kuna watu watapata hii kazi kwa nguvu kubwa sana.Na mwisho kabsa kwa maisha jinsi yalivyobana hvi sasa baba,mama,mjomba,shangazi,kaka na dada ni watu ambao wanaweza kukupa mchongo wa laki 5 au zaidi buuuure bt waliobak hapo ni wachache sana wanaweza kukupa mchongo bila kumpoza.
 
NBS wamefanya uhuni mkubwa kwa majobless wenye degree kwenye kazi za muda za sensa

Nafasi ya Msimamizi wa Maudhui imewekwa kama geresha tu kwakua tayari walishapanga watu wao ambao ni walimu wakuu na wengi walioomba hizo nafasi ni vijana wenye bachelor.

Nafasi ni 3 kwa kila kata hii ni kwa Tanzania nzima na hawakusema hapo awali ambapo pia Nafasi hizo ni za Walimu wakuu pekee..Huu ni uhuni na ubabaishaji wa khali ya juu.

Wenye mamlaka bado mna muda wa kubadilisha hili ili kila mwenye sifa na vigezo aweze kupata achaneni wa hao walimu wakuu wameshalamba asali vya kutosha,wapeni nafasi vijana wajikwamue kiuchumi.Mkishindwa kabisa wasogezeni kwenye ukarani ila sio kuwapotezea kabisa,hii itawavunja moyo wa kulipigania taifa lao.Nawafahamu vijana wengi wenye akili ya maisha ukimpatia laki 5 cash each ameshatoboa na hatowasumbua tena masuala ya ajira..[emoji120][emoji120]

Hii nchi yetu sote acheni unaa
Mtu alipata mkopo
Meals and accommodation [emoji818]
Books and stationary [emoji818]
Special faculty [emoji818]
Field [emoji818]
Tuition fees [emoji818]

Akashindwa kujibana Leo hii unasema akipewa laki 5 itamsaidia

kingine msomi gani alishindwa kufanya tafiti ndogo kuona kwamba mjini kutakuwa na ushindani Mkubwa hususani kitengo cha usimamizi wa maudhui au tamaa ndio aliweka mbele
 
Oi wadau mpo kimyaaaa huku nikiamini huu uzi umebakia ni mahala pa kulalamika na kulia lia ...![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]natumaini zoezi la usaili limekamilika nchi nzima. Itoshe kusema tusubiri matokeo kama ulitema yai subiri mema ya nchi ila kama ulijikuta kidume yatatakukuta...!
 
Mtu alipata mkopo
Meals and accommodation [emoji818]
Books and stationary [emoji818]
Special faculty [emoji818]
Field [emoji818]
Tuition fees [emoji818]

Akashindwa kujibana Leo hii unasema akipewa laki 5 itamsaidia

kingine msomi gani alishindwa kufanya tafiti ndogo kuona kwamba mjini kutakuwa na ushindani Mkubwa hususani kitengo cha usimamizi wa maudhui au tamaa ndio aliweka mbele
Unaumiza moyo wangu[emoji25][emoji25]
 
Back
Top Bottom