Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Kinachoendelea kwa sasa ni kitu gani, updates kwa mwenye nazo, tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hvi huu mchakato wa kupata haya majina unafanywa na nbs au halmashauri?Vijana wenzangu kuweni na imani maana mchakato unaenda vyema kabisa kama ukipata umepata kwa haki na kama ukikosa basi ujue ni haki imetendeka kwakuwa lazima wengine wapite na wengine wabaki ndiyo maana ya usaili.
Hao wanaokuja hapa nakuwatoa watu kwenye reli kwamba sijui bila connection hutoboi ni wazushi watupu hawana wanalolijua ni wale watu waliojikatia tamaa tangu utotoni mwao kwahiyo wameathiriwa na hali hiyo.
Kwa mahojiano sio kwa maandishiHuo usahili ulikua wa mahojiano au maandishi??
Majina yaliyopita yamewalisishwa ngazi ya mkoa.Kinachoendelea kwa sasa ni kitu gani, updates kwa mwenye nazo, tafadhali
Hakuna cha nbs ni Geresha tuhvi huu mchakato wa kupata haya majina unafanywa na nbs au halmashauri?
Mkuu wikiendi hii tusubiri iishe [emoji16]Kinachoendelea kwa sasa ni kitu gani, updates kwa mwenye nazo, tafadhali
OkayMajina yaliyopita yamewalisishwa ngazi ya mkoa.
Ila wao wanasema kazi ni siku zote na masaa yote, hata mafunzo hayo ya siku 21, ni siku zote mfululizo hakuna wikiendi. Tusiweke macho mbali sana.. lolote linaweza kutokea muda wowoteMkuu wikiendi hii tusubiri iishe [emoji16]
Kwanzia j3 na kuendelea sasa tuwe macho
Kuna sehem washaanza kupigiwa simu kuambiwa wamepita kwenye usahili wangojee seminaMkuu wikiendi hii tusubiri iishe [emoji16]
Kwanzia j3 na kuendelea sasa tuwe macho
Unavo wazungumzia usalama wa Taifa utafikiri wao ni malaika na hawana ndugu/Marafiki.Hizi nafasi hakuna cha connection maana zoezi linafanyika kwa uangalizi mkubwa kama ilivyokuwa kwenye ajira za walimu na watu wa afya ambapo taasisi mbalimbali zilihusishwa hadi watu wa usalama wa taifa.
Zoezi nyeti kama hili usidhani serikali imelala lahasha!
Ndo maana ajira za Tamisemi safari hii wamepata watoto wengi wa masikini ambao hawajui hata maana ya connection wala hawamjui hata mtandaji wa mtaa ama kijiji.
Mkuu ngazi ya mkoa wakati baadhi ya kata usaili wamemaliza jana jioni!?Majina yaliyopita yamewalisishwa ngazi ya mkoa.
Nazunhumzia kwenye wilaya niliyopo.Mkuu ngazi ya mkoa wakati baadhi ya kata usaili wamemaliza jana jioni!?
OkNazunhumzia kwenye wilaya niliyopo.
Sehemu gani hyo mkuuKuna sehem washaanza kupigiwa simu kuambiwa wamepita kwenye usahili wangojee semina
ameishiwa hadi nguvu ya kutype 😁😁😁(natania)Mwanetu Mchunguzi Fukara yuko wapi ? tulikuwa wote humu tukipiga ramli amepotea ghafla siku tatu hizi.
Mkuu acha kuwasikiliza watu kama hawa kazi yao ni kupotosha tu hawana uhakika na jambo ila wanajaribu kuchomekea mambo kama hayo ili waone kama kweli kuna watu wamepigiwa simu.Sehemu gani hyo mkuu
Au umesikia umeskia fununu
Maana utaratibu majibu yanawafikia walengwa kwa kutoka kwa mkeka wa majina
Tatizo umeathiriwa na ugonjwa wa 'connection' ndo maana kila wakati unafikiria connection tu.Unavo wazungumzia usalama wa Taifa utafikiri wao ni malaika na hawana ndugu/Marafiki.
Connection hua haziepukiki lazima ziwepo na nafasi za wananchi(wasio na connection) pia zipo.
So chances za kupata na kukosa kwa kila mtu pia zipo.