Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Huku kwetu Tandahimba shimo limetema[emoji39][emoji39]
IMG_20220723_141341_736%20(1).jpg
 
Huu ndo Ukweli muda umeshatembea maana nbs hawawezi chakata majina laki Mbili kwa hizi siku 5 zilizobaki
Nadhani cha msingi mngeuacha muda uamue, kama watu walivumilia miezi miwili na siku kadhaa, mnashindwaje kuvumilia hizi siku 5?
 
Mbona majina yanatangazwa huku kwenye kata, kuna kata wamefanya usaili siku hiyo hyo wakatoa majina ya waliopita kwenye usaili watu wanasubiria mafunzo ya tarehe 29/7.

Unavo wazungumzia usalama wa Taifa utafikiri wao ni malaika na hawana ndugu/Marafiki.

Connection hua haziepukiki lazima ziwepo na nafasi za wananchi(wasio na connection) pia zipo.

So chances za kupata na kukosa kwa kila mtu pia zi

Mbona majina yanatangazwa huku kwenye kata, kuna kata wamefanya usaili siku hiyo hyo wakatoa majina ya waliopita kwenye usaili watu wanasubiria mafunzo ya tarehe 29/7.
Usiseme kuna kata- sema jina la kata,wilaya na mkoa ,taarifa inakuwa ishakamilika. Vinginevyo inakuwa kama uzushi
 
Back
Top Bottom