I wish i have
Senior Member
- Nov 2, 2021
- 135
- 62
- Thread starter
- #21
Nimepeda picha yako "SIJUI ULE MZIKI WALIKUWA ANAIMBAJE" ZILIBAMBAUsiombe jua liwe Kali alafu hauna hell.ndo madhara yake haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepeda picha yako "SIJUI ULE MZIKI WALIKUWA ANAIMBAJE" ZILIBAMBAUsiombe jua liwe Kali alafu hauna hell.ndo madhara yake haya
Hata mie technolojia ya magonjwa ishukuliwe unaweza ukajisumbua wakati jamaa anamajibu ya kila kitu!?Ukikagua account yake comments nyingi alizocomments jf zinaweza kusababisha mtu kupata malaria 😃😃😃
Manguniko mengine HAYA MATAPU TAP YANAUMIZA TUMBO
Hii ikahusika Kwamba watawapa connection ya Kinga na kutoboa kibiashara majuzi wengine waliambiwa vyama vyao Nini mkuu wkt wote wanapost tu wakisema J2 Yuko kanisani amepiga magoti wakiomba kura wetu.Nimepeda picha yako "SIJUI ULE MZIKI WALIKUWA ANAIMBAJE" ZILIBAMBA
Kampuni ipo POSTA karibu na BOT ina zip code L8S145 MANUNGUNIKO YA UCHAGUZI MKUU VP UNAYAKUMBUKA NIMEHESABU KULA NIMESHINDA ILA KATANGAZWA MWINGINE... YAKIZIDI --- JF HUWA MALI FULL BANDah
Mkuu. Tufafanulie yafuatayo
1. Jina la kampuni
2. Shughuli zake
3. Ofisi zilipo
4. Kila position weka job description
5. Usisahau anuani.
Vinginevyo tulia stimu ipoe uusome upya uzi wako na ukiuelewa tunakupa mke na zawadi ya rizzler
NUNGUNIKO LINGINE NAVUTA BANGI WANANIITA MWALIFU WAKATI ULAYA WANAVUTA KAMA SINGARAbangi uliyo vuta haiku kaushwa vzuri
Nunguniko lingine hilo NIMEVAA SUTI WANANIITA KICHAA🙂🙂🙂😉 KUNA KITU WANATAKA NIONGEE WAKATI HAWAPENDIAtakua Lumumba moja huyu, akili zimeanza kuruka
Leo huko ndani huku waasi wa Red na kuvuta vitu vyenye asili ya chuma mboga kutoka kwa Kibatala.Kampuni ipo POSTA karibu na BOT ina zip code L8S145 MANUNGUNIKO YA UCHAGUZI MKUU VP UNAYAKUMBUKA NIMEHESABU KULA NIMESHINDA ILA KATANGAZWA MWINGINE... YAKIZIDI --- JF HUWA MALI FULL BAN
Nunguniko lingine hili: SIJUI KISWAHILI WANATAKA NIIMBEDaaaah, hii sio misemo au misamiati, kweli kiswahili ndiyo lugha mama ila mpaka hapa nimejitambua kuwa asili yangu nimetokea Rwanda hiyo niwaachie wazalamo wenye kiswahili chao. Sijaelewa chochote.
Na mimi najazia laki nyingineatakayeelewa huu uzi nampa laki moja.
Inatosha kununua kitabu "Tukanunue kitabu tuondoe NUNGUNIKO LA WATANZANIA HATUSOMI VITABU"Naongeza laki kwa atakayeelewa
Bora inatosha kununua kitabu "upate mbinu za kuwakabili watu ambao wadharau hela "LAKI SIO PESA"" MAANA IKIFIKA HUKO WOTE FURSANa mimi najazia laki nyingine
We jama ni kabila gani aisee?Kampuni ya Punch company limited
Inatanganza nafasi 500 kwa wachumi, HR, ACCOUNTANT, WATU WA MASIJALA KWA AJILI YA KUPUNCH LAANA ZILIZOKO KWENYE JAMII MAANA UHURU HAWAKUTENGENEZA KITENGO CHA KUJIBU MANUNGUNIKO ya watu na badala yake yakawa laana... Mathalani:-
...... Mchawi sana/Freemason hatakiwi mtaani (bado anaendelea kuishi)
.... Kaniuzia Vitunguu/Nyanya zilizooza (akisikika akisema na yeye atakuwa hivyo hivyo)
.... Tunasoma hatuna kazi kwa muda mrefu
.... KUJUDGE MUVIE ZA MAUAJI (watu wanaojichulia kifo/kuwa wauwaji kwenye jamii)
na Mengineyo (ILA USISAHAU LAANA ZINATESA NA KUUWA JAPO NI JAMBO ZURI LA KUPAMBANIA)
Aidha, ni mapenzi ya BINTI KIZIWI HAYA SIJUI KAMA MIIMILI HAIJAONGEA KWA AJILI YA SPECIFICATION ZA MIILI YA WATU LAANA NUKSI (WANACHAFUA MIJI NA KUTUUZIA VITU VILIVYOOZA NA WANA MAPENZI YA KUFA NA KUOZA - WATOTO WAZURI HAWATAKIWI KUFIKIRI HATA SALAMU)
waweza tuma email yako kwenye email ifuatayo: laanazatanzaniatayari@gmail.com
Daah inakuwaje maoni mnafanana?Leo huko ndani huku waasi wa Red na kuvuta vitu vyenye asili ya chuma mboga kutoka kwa Kibatala.
Umejua tatizo nunguniko la kabila "fulani kutufundisha maisha" bora wawe 500 wa makabila tofauti tofautiWe jama ni kabila gani aisee?
Bora tutawatengenezea madaktali mfuko wa SIRI maana tunatakiwa kuondoa "Nunguniko la daktali akijua ugonjwa wangu anaenda kunitangaza"mods mnasajili Hadi wagonjwa wa akili.
mods mnasajili Hadi wagonjwa wa akili.
Manunguniko ya ana akili nyingi lakini fedha hanaLeo huko ndani huku waasi wa Red na kuvuta vitu vyenye asili ya chuma mboga kutoka kwa Kibatala.