Nafasi za kazi Idara ya Uhamiaji (470)

Nafasi za kazi Idara ya Uhamiaji (470)

Sometimes wakiona waombaji ni wengi wanaweka tu sababu ya muhuri, ambao vyeti havina muhuri wanakaa pembeni kwanza. The n waliobaki wanajipima kwenye interview
Duuh kwel ,sas na hzi leaving wanazotaka za nin wkt vyeti vipo jmn,wengn tunatembea na vyeti tu leaving tumeacha mbali huko.
 
Wakuu
nimewafata huku, naomba model,sample na tips za usahili wa uhamiaji kwa wale waliofanya mwaka jana domu.
 
Ivi kama unaishi dar au dom siku ya usaili ukivamia bogi na details zako wanaweza wakakutoa?
 
Back
Top Bottom