SaulGoodman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 418
- 906
Sa tufanyaje ndugu?Hizi ajira ni ngumu sn kutoboa km huna connection
Cha msingi we omba ukikosa unachukulia kawaida tu but wapo wanaopata bila connection jaribu bahati yako bhanaHizi ajira ni ngumu sn kutoboa km huna connection
We omba bhana kama huna connection utafanyaje sasa we jaribu bahati yako ukikosa unachukulia kawaida tu msianze kukatishana tamaa apaSa tufanyaje ndugu?
Kati ya ajira ambazo ni ngumu kupata kama huna wakukubeba basi uhamiaji ni namba mojaHabari zenu wandugu, naomba niende kwenye hoja Moja kwa Moja.
Idara ya Uhamiaji imetangaza nafasi za ajira 500 kwa vijana wa kitanzania wenye sifa na vigezo mbalimbali vya kitaaluma Leo tarehe 11/12/2022. Unaweza pitia attachments hapa chini kufahamu zaidi.
Lengo la Uzi huu ni kuweza kupata tips na hints namna ya kutuma maombi kwa usahihi pamoja na kufanya usahili wao kwa usahihi lakini pia itapendeza kama tutapata links za magroup ya mitandao ya kijamii kwa lengo la kupeana updates kuhusu mchakato na tips, Ahsanteni na karibuni.
Ajira za uhamiaji ni za kubebana sana (upendeleo mkubwa)Hizi ajira ni ngumu sn kutoboa km huna connection
Wakina nan wanakubeba sasa?..Ajira za uhamiaji ni za kubebana sana (upendeleo mkubwa)
Kuna nyoro nyoro (urojo urojo) zinaitwa mafunzo mpaka unashangaa huyu naye
Ndio jeshi linaloongoza sahivi kwa kupenyezanaAjira za uhamiaji ni za kubebana sana (upendeleo mkubwa)
Kuna nyoro nyoro (urojo urojo) zinaitwa mafunzo mpaka unashangaa huyu naye
Kila kitu kipo kwenye tangazo, soma page ya 3 ya tangazo Lao utaona hvyo unavyoulizia.Halafu mbna hawajaweka deadline Hawa Wala tareh iliotoka tangazo? Anaejua anijuze wadau
πππ Cheki polisi lablaKwa hiyo sisi walimu tumepigwa ndoige hapa
Tumia cheti Cha six Kama umri unaruhusuKwa hiyo sisi walimu tumepigwa ndoige hapa