kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
Hii haiwahusu wenye fani ?bado za mafundi
[emoji23][emoji23] bongo bila connection hutoboi mzeeHii nchi ngumu hii jaman, mtu unakomaa unaumia na vitabu mwisho wa siku wanachukua vilaza.
Et aliesoma hawez kushika bunduki, kuifikia marekan na israel katika maswala ya intelligence tutayasikia tuu.
Ngumu sana
Sasa kwann wamechukua pungufu ingawa kuna nafasi kama 17 zimepelea na watu wengine wamekosa au uhitaji ulibadilikaSio kweli,mm namjua mtu kakosa
Siyo kwa form six au degree au diploma ni bahati Sana me nimeona majina ambayo kwenye usaili sijawahi kuyaonambna kuna waliopata bila conn
Ngoma tayari hiyo [emoji1][emoji1]je zile za fani wataitwa lini au
Lakin wewe hukuwa muumini wa connection 🤔 nakumbuka Kuna mdau humu akisema swala la connection ulimbishia sanaMe nimekosa asee bongo bila connection kugumu sana
Ngoma tayari hiyo [emoji1][emoji1]
Mbona Mimi form six kijana nimechukuliwa bila connectionSiyo kwa form six au degree au diploma ni bahati Sana me nimeona majina ambayo kwenye usaili sijawahi kuyaona
Walioitwa kwenye usaili watu wa degree walikuwa 668, afu waliochukuliwa ni 97....Hii nchi ngumu hii jaman, mtu unakomaa unaumia na vitabu mwisho wa siku wanachukua vilaza.
Et aliesoma hawez kushika bunduki, kuifikia marekan na israel katika maswala ya intelligence tutayasikia tuu.
Ngumu sana
Kaka nipo hapa hapa,madogo tulieni usije na u-jkt wako hapa na unisikilize kwa umakiniRai:-
Huko CCP hakuna mambo ya kudoji ukiepa kipindi utafukuzwa kule hakuna mambo ya jkt kwamba ukidoji andaa nguvu.Ndugu zangu mukawe watiifu na mujipange.
Kuhusu minazi ukikamatwa unayeya.
C&P.
Ronja hizi kaniambia ndugu yangu mvaa kaki(polisi).
Mkuu vipi wale wa faniAliyepitia JKT yaani CCP ni mtelezo tu.
Kweli RPC mtoto wake akose?Kujipendelea hakujawahi kuisha.Baba kantuma wamepeta Sana yametoka majina hata usaili hayakuwepo
Nadhani ni wote wamo humo na ndiyo sababu ya kuchelewa kwa mkeka.Kama sivyo basi kuna mkeka wenu japo siamini hili.Mkuu vipi wale wa fani
Inategemea na mkoa wako ila hapa mkoani kwangu yamefanyika ya pembeni hata maafande wengine kabla ya majina walitupa ronja kuna wakubwa wameleta watu waoMbona Mimi form six kijana nimechukuliwa bila connection