Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Force number au certificate number? Labda zimefanana ila ziko tofauti katika aina ya Operesheni.Hivi namba za cheti za jkt zinafanana? Maana namba yangu jina la mtu mwingine au ndo washafanya yao
Poleni sana mliokosa,bado kuna nafasi nyingine.Inategemea na mkoa wako ila hapa mkoani kwangu yamefanyika ya pembeni hata maafande wengine kabla ya majina walitupa ronja kuna wakubwa wameleta watu wao
Live nimeyaona sitojaribu AJIRA yoyote ile hata nishkiwe bunduki kma sina connection ya uhakika [emoji18]Lakin wewe hukuwa muumini wa connection [emoji848] nakumbuka Kuna mdau humu akisema swala la connection ulimbishia sana
Bila connection hakuna Jambo [emoji18]Poleni sana mliokosa,bado kuna nafasi nyingine.
Mnaosubiria tpdf huna connection ya uhakika utaisikia kwenye bomba hiyo bakabaka [emoji847]
***** bongo nyoso [emoji18][emoji22][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]afande vipi tena si tulikubaliana kukata tamaa ni mwiko????au nasema uongo ndugu zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
***** bongo nyoso [emoji18][emoji22]
Daah bi mkubwa wangu amefadhaika Sana mwenyewe alikuwa Dua nyingi kuhusu ili Jambo [emoji18].sema kila kitu rizk mungu bado ataendelea kuwa ila maafande wametuzungusha alafu kumbe walikuwa na watu waoNoma sana...tusikate tamaa kaka magereza, uhamiaji na zimamoto mungu atajibu tu sehemu
Mkuu vipi umepata wwVijana wenzangu msilalamika asee,haya mambo Huwa hayatabiriki.Kama Degree tulikuwa ni 600 na ushee na waliopenya ni 97 tu.Ujue kadri unavyokuwa na Elimu kubwa ndio kabisa kuajirika Ngumu.Serikali ilione hili Kwa jicho la kipekee.Mtaani ni kugumu balaa.
Tuendelee Kusubiri Next time..Mkuu vipi umepata ww
Mchakato ulibanwa sana kwa elimu za astashahada mpaka shahada ila walipoelekeza na ma rpc wafanye mchakato hapo ndiyo upenyo ulipopatikana.Bila connection hakuna Jambo [emoji18]
mkuu ulitegemea sana utapata hz ajira e? mana naona imekua dissapointed sana kulko wengMama Samia wizara yako imetutema fanya utupe hata mikopo tujikwamue kibiashara huku mtaani kujiajiri bila mtaji haiwezekani
Mambo ya majeshi na ualimu yalivurugwa 2016-2020 hapo ndiyo maana leo vijana wengi wanakwama sana wenye sifa mmekuwa wengi mno na hakukuwa na mpango wa kuwapunguza,poleni tena.Serikali itufikirie vijana kwa namna nyengine huku vyuma vimekaza watupe hata mikopo tujikwamue kibiashara
Duhh mungu yupo na ss BadoMchakato ulibanwa sana kwa elimu za astashahada mpaka shahada ila walipoelekeza na ma rpc wafanye mchakato hapo ndiyo upenyo ulipopatikana.