Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mnaosubiria tpdf huna connection ya uhakika utaisikia kwenye bomba hiyo bakabaka [emoji847]
 
Serikali itufikirie vijana kwa namna nyengine huku vyuma vimekaza watupe hata mikopo tujikwamue kibiashara
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]afande vipi tena si tulikubaliana kukata tamaa ni mwiko????au nasema uongo ndugu zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
***** bongo nyoso [emoji18][emoji22]
 
Mama Samia wizara yako imetutema fanya utupe hata mikopo tujikwamue kibiashara huku mtaani kujiajiri bila mtaji haiwezekani
 
Noma sana...tusikate tamaa kaka magereza, uhamiaji na zimamoto mungu atajibu tu sehemu
Daah bi mkubwa wangu amefadhaika Sana mwenyewe alikuwa Dua nyingi kuhusu ili Jambo [emoji18].sema kila kitu rizk mungu bado ataendelea kuwa ila maafande wametuzungusha alafu kumbe walikuwa na watu wao
 
Vijana wenzangu msilalamika asee,haya mambo Huwa hayatabiriki.Kama Degree tulikuwa ni 600 na ushee na waliopenya ni 97 tu.Ujue kadri unavyokuwa na Elimu kubwa ndio kabisa kuajirika Ngumu.Serikali ilione hili Kwa jicho la kipekee.Mtaani ni kugumu balaa.
 
Vijana wenzangu msilalamika asee,haya mambo Huwa hayatabiriki.Kama Degree tulikuwa ni 600 na ushee na waliopenya ni 97 tu.Ujue kadri unavyokuwa na Elimu kubwa ndio kabisa kuajirika Ngumu.Serikali ilione hili Kwa jicho la kipekee.Mtaani ni kugumu balaa.
Mkuu vipi umepata ww
 
Najifariji labda jina langu ntalikuta PDF ya magereza au uhamiaji japo sijaomba [emoji22][emoji18]
 
Back
Top Bottom