Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Aiseeee
Ndio ila sio kila jambo ni laku msukumia mungu, mengine you have to fix , wana wameenda hadi makao makuu wamelia sana, suburia sana wakuu njee watoke ile mida ya saa 10 kazini, omba sana , wakaambiwa andiken majina hapo, leo wameula
 
"WASOMI" wanazitamani kazi za "VILAZA"... Yani kukosa nafasi wengi wenu (KAMA SIO YULE MMOJA MWENYE ID 10) Mnalia Kama madawili??

Anyway, Jaribuni next time nazani kuna kitu mmejifunza (KWA WALE MLIOKUWA NA NIA ZA DHATI).

Jeshi sio kiwanda cha Jentaaa.
 
We Jamaa una chuki binafsi.Hizi mambo si Kuna kupata na kukosa
 
Hakuna asiyelijua kaka.Umekosea kusema Kauli isiyo ya kiungwana hapo juu
Sawa Kaka, Mimi sijajaliwa kauli za kiungwana.. sema wewe uliyejaliwa maana Kuna tofauti ya CHUKI na UUNGWANA.. Kama ilivo MAPENDO na USHENZI.

Kwa wale mliiomba NAFASI ZA POLISI PEKE YAKE, Jaribuni next time... Kwa mlioomba na Majeshi mengine KUWENI WAVUMILIVU.

Awiiiiiih... Tukutane mkikaribia pass out.
 
Hii nayo 28 September...

Tukutane mkikaribia pass out
 
Ooho, samahani kaka unajua nyie wasomi mko makundi mengi tofauti na sisi wa darasa la saba afu na kwa kiswahili mara stashada mara sijui astashahada tunachanganya...

Nilikua nauliza ninyi wamekagua Gpa au vyeti?

Awiiiih.....
"WASOMI" Mlikuwa wengi, ila MSIKATE TAMAA.. muhimu ni Kumtanguliza Mungu na Kupambana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…