Saoka
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 441
- 643
Mkuu tembelea website ya Polisi Tz nowAcha kuwarusha vijana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tembelea website ya Polisi Tz nowAcha kuwarusha vijana.
Niliomba PT tu mkuu
Cheki hiiMkuu tembelea website ya Polisi Tz now
Ndio ila sio kila jambo ni laku msukumia mungu, mengine you have to fix , wana wameenda hadi makao makuu wamelia sana, suburia sana wakuu njee watoke ile mida ya saa 10 kazini, omba sana , wakaambiwa andiken majina hapo, leo wameula
Nikajua niyaleo mana sikuwa na bando Jana , nimeona nimengi mnoAcha kuwarusha vijana.
Majina yametoka tangu jana wewe unatoa taarifa leo huoni unawayumbisha wenzio?
Jana hiyo Mkuu.Nikajua niyaleo mana sikuwa na bando Jana , nimeona nimengi mno
Dah nashindwa kutoa jibu ila kuna jambo hapo..
Unayo hakika? Naweza kukusaidia kufix Tena bure na kila kitu tunamaliza hapahapa no DM.Dah au cheti changing kimeuzwa
We Jamaa una chuki binafsi.Hizi mambo si Kuna kupata na kukosa"WASOMI" wanazitamani kazi za "VILAZA"... Yani kukosa nafasi wengi wenu (KAMA SIO YULE MMOJA MWENYE ID 10) Mnalia Kama madawili??
Anyway, Jaribuni next time nazani kuna kitu mmejifunza (KWA WALE MLIOKUWA NA NIA ZA DHATI).
Jeshi sio kiwanda cha Jentaaa.
Nikikuchukia nafaidika na Nini? Usitengeneze chuki pasipo na sababu.. AU UMEAMUA KUJIFANYA MNG'AO KAKA?We Jamaa una chuki binafsi.Hizi mambo si Kuna kupata na kukosa
Nikikuchukia nafaidika na Nini? Usitengeneze chuki pasipo na sababu.. AU UMEAMUA KUJIFANYA MNG'AO KAKA?
Jaribu next time.
Hakuna asiyelijua kaka.Umekosea kusema Kauli isiyo ya kiungwana hapo juuNikikuchukia nafaidika na Nini? Usitengeneze chuki pasipo na sababu.. AU UMEAMUA KUJIFANYA MNG'AO KAKA?
Jaribu next time.
Comment hii niliitoa 28Sept..ID sita kapumzika kujikoti
Sawa Kaka, Mimi sijajaliwa kauli za kiungwana.. sema wewe uliyejaliwa maana Kuna tofauti ya CHUKI na UUNGWANA.. Kama ilivo MAPENDO na USHENZI.Hakuna asiyelijua kaka.Umekosea kusema Kauli isiyo ya kiungwana hapo juu
Hii nayo 28 September...Jaribu kwanza, kukata tamaa iwe ni last option kwenye kila jema unalopanga..
Kujaribu si ghali..
Ukijaribu unaweza kupta, Je ukikata tamaa utapata?
Askari unatakiwa kujaribu, Kushindwa kwako kuje baada ya kujaribu na sio kushindwa kuje kwa kukata tamaaa.
Awiiiih... Awaaah
Awiiiiiih... Mlioomba MAGEREZA, ZIMAMOTO, UHAMIHAJI endeleeni KUMUOMBA MUNGU awafanyie wepesi na KUDRA Zake ziwatangulie.Vijana hawaleti taarifa, au majina yenu hayajatoka?
Ombeni MAGEREZA sasa
"WASOMI" Mlikuwa wengi, ila MSIKATE TAMAA.. muhimu ni Kumtanguliza Mungu na Kupambana.Ooho, samahani kaka unajua nyie wasomi mko makundi mengi tofauti na sisi wa darasa la saba afu na kwa kiswahili mara stashada mara sijui astashahada tunachanganya...
Nilikua nauliza ninyi wamekagua Gpa au vyeti?
Awiiiih.....