Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wazee wa biashara United muda sio muda mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Biashara united = Wanajeshi wa mpakani, hii nadhani inaweza kua Idara ya uhamiaji wanakaribia kuachia PDF lao..
Am just guessing
 
Biashara united = Wanajeshi wa mpakani, hii nadhani inaweza kua Idara ya uhamiaji wanakaribia kuachia PDF lao..
Am just guessing

Mzee umejitahid kufikiria sana aisee,,,maybe lakini magereza lazima waanze kutoa ndio wafuate uhamiaji....yaan mtiririko utakua uleule kulingana na matangazo yalivyotoka
 
Mzee umejitahid kufikiria sana aisee,,,maybe lakini magereza lazima waanze kutoa ndio wafuate uhamiaji....yaan mtiririko utakua uleule kulingana na matangazo yalivyotoka
Ningependa iwe hivo pia... Ngoja tusubiri
 
Wengi wameenda CCP au unahisi wengi Tumekosa tuliobakia humu ndani???
Wengi wamekuwa disappointed kwa kuwa waliweka matarajio makubwa sana Police, Na wamekosa , way back niliwai kusema ni vigumu sana kupenya kwenye selection kama huna mtu juu , otherwise uwe na unique qualification, kama umetuma tu kienyeji, you will be termed as other black African monkey.
 

Ila ni kweli mim kuna marafiki zangu watatu ,,,wote wameenda kwa connection.....na tupo level moja kielimu,mmoja amenizid
 
Sawa mkuu. Ila nna ombi moja kwako. "NAOMBA CONNECTION".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…