Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 993
- 550
Wazee wa biashara United muda sio muda mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mzee code za lonja yako ngumu hii fafanua kidog
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa biashara United muda sio muda mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
😃😃😃Kwahyo fire wale tulio andika maombi makao makuu tayari watu washaitwa kitambo kwenye usaili ? [emoji1787][emoji1787] wengine tupo tupo tu
Embu nitafute kigoda nikae nitulie kwanza maana huu mwendo ni mrefu sana [emoji1787]
Biashara united = Wanajeshi wa mpakani, hii nadhani inaweza kua Idara ya uhamiaji wanakaribia kuachia PDF lao..Wazee wa biashara United muda sio muda mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Tushapigwa
Biashara united = Wanajeshi wa mpakani, hii nadhani inaweza kua Idara ya uhamiaji wanakaribia kuachia PDF lao..
Am just guessing
Ningependa iwe hivo pia... Ngoja tusubiriMzee umejitahid kufikiria sana aisee,,,maybe lakini magereza lazima waanze kutoa ndio wafuate uhamiaji....yaan mtiririko utakua uleule kulingana na matangazo yalivyotoka
Wengi wameenda CCP au unahisi wengi Tumekosa tuliobakia humu ndani???Technically uzi umekuwa mpole sana
Wengi wamekuwa disappointed kwa kuwa waliweka matarajio makubwa sana Police, Na wamekosa , way back niliwai kusema ni vigumu sana kupenya kwenye selection kama huna mtu juu , otherwise uwe na unique qualification, kama umetuma tu kienyeji, you will be termed as other black African monkey.Wengi wameenda CCP au unahisi wengi Tumekosa tuliobakia humu ndani???
Wengi wamekuwa disappointed kwa kuwa waliweka matarajio makubwa sana Police, Na wamekosa , way back niliwai kusema ni vigumu sana kupenya kwenye selection kama huna mtu juu , otherwise uwe na unique qualification, kama umetuma tu kienyeji, you will be termed as other black African monkey.
Sure mzee,Ila ni kweli mim kuna marafiki zangu watatu ,,,wote wameenda kwa connection.....na tupo level moja kielimu,mmoja amenizid
Kule hawatumiagi simu nini maana si watakuwa bado wazalendo au ..Wengi wameenda CCP au unahisi wengi Tumekosa tuliobakia humu ndani???
Simu hawakuruhusiwa kwenda nazoKule hawatumiagi simu nini maana si watakuwa bado wazalendo au ..
Duuh kwahyo wamesafiri bila mawasiliano ?Simu hawakuruhusiwa kwenda nazo
mkuu waliweka.fani ya automobile engineering..sijaona Auto hata mmoja ktk hayo majina.hao shahada saba ha ha ha
Sawa mkuu. Ila nna ombi moja kwako. "NAOMBA CONNECTION".Mjiandae kuna nafasi ziko njiani pia za maafisa usalama viwanja vya ndege/aviation security officers chini ya Tanzania Airport Authority/KADCO(KIA) nao watataka uwe na cheti cha JKT uwe degree/diploma holder or less..
Kazi kwenu vijana hizi kazi tunawaachia damu changa.
Safari hii CCP itajaa nyomi la kufa mtu.
Kama ni hivi basi chama la wana litabeba zaidi ya 10k,kihangaiko na oljoro kwa pamoja.