southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
Wengine wameitwa kwenye ofisi za mikoa hao ni makao makuuDah mbona uhamiaji wamechukua idadi ndogo sana ivi duh...?
Mujibu sijajua force number zao zinaanza na herufi gani. Ila zile AU, AY, AZ, AKG, AKH zote ni za wakujitolea, ambazo nimeona ndio zimetawala palesahh ,kwa kuangalia F number inamana hakuna wa mujibu kabsa apo?
Mujibu zinaanza AMMujibu sijajua force number zao zinaanza na herufi gani. Ila zile AU, AY, AZ, AKG, AKH zote ni za wakujitolea, ambazo nimeona ndio zimetawala pale
Mujibu zinaanza AM
Anhaa, nimeziona pale zipo pia ingawa ni chache.Mujibu zinaanza AM
Huenda walioomba n wachache cuz mujibu wengi wanaendaga vyuoni na ukicheki hzo nafasi ziliitaji maconstable sjui kama UT walihitaji wenye degreeAnhaa, nimeziona pale zipo pia ingawa ni chache sana
Sawa Kabisa hizo wanazoleta ilikuwa Ni porojo humu kuna watu wajuaji sanaHakuna namba za special kwa ajili ya jkt mujibu wa sheria wala jkt kujitolea. Kinacho fanyika namba huwa inaendelea kutolewa pale inapo kuja operation mpya. Kinacho kuja kutofautisha ni cheti cha jkt. Yaani cheti cha mujibu wa sheria huwa kimeandikwa kabisa "mujibu wa sheria"
Mbona majina machache sana UHAMIAJI
@Choo Cha Kulipia naomba msaada kama unajua chochote hapaHivi takukuru husipokua na chet cha jkt system inakubali ku-submit application?
Asa mmojawapo wa hao watu sahihi si ndo ww mkuu?[emoji12]Mtegemee Mungu tu,ataleta watu sahihi kwa wakati wake na watakufaa.
Ivi mkuu huna no za Mkuu wetu wa uhamiaji tz??Sijajua,ila nadhani inakubali maana niliona kwenye uzi fulani mtu katuma maombi bila kuwa kapitia JKT.
Uzifanyie niniIvi mkuu huna no za Mkuu wetu wa uhamiaji tz??
Nina shughuli nazo privateUzifanyie nini
Ndo wapi mimi nipo ArushaMama Makakala namba zake za nini? Mvizie pale MM kwake akitoka au kuingia tu unaomba chaap kuzungumza naye,simu zao siyo nzuri sana vipenyo wengi.
Ndo wapi mimi nipo Arusha
Daahh siwezi pata mawasiliano yake kabisa nje na hapo jameniiMakao makuu dodoma,ofice yake ilipo
Unamaanisha kuwa huwa wako traced pia?Mama Makakala namba zake za nini? Mvizie pale MM kwake akitoka au kuingia tu unaomba chaap kuzungumza naye,simu zao siyo nzuri sana vipenyo wengi.