Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Anhaa, nimeziona pale zipo pia ingawa ni chache sana
Huenda walioomba n wachache cuz mujibu wengi wanaendaga vyuoni na ukicheki hzo nafasi ziliitaji maconstable sjui kama UT walihitaji wenye degree
 
Hakuna namba za special kwa ajili ya jkt mujibu wa sheria wala jkt kujitolea. Kinacho fanyika namba huwa inaendelea kutolewa pale inapo kuja operation mpya. Kinacho kuja kutofautisha ni cheti cha jkt. Yaani cheti cha mujibu wa sheria huwa kimeandikwa kabisa "mujibu wa sheria"
 
Hakuna namba za special kwa ajili ya jkt mujibu wa sheria wala jkt kujitolea. Kinacho fanyika namba huwa inaendelea kutolewa pale inapo kuja operation mpya. Kinacho kuja kutofautisha ni cheti cha jkt. Yaani cheti cha mujibu wa sheria huwa kimeandikwa kabisa "mujibu wa sheria"
Sawa Kabisa hizo wanazoleta ilikuwa Ni porojo humu kuna watu wajuaji sana
 
Back
Top Bottom