Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

kwa wale wa magereza pdf inatoka tar 3/4 hyo ni sure 100% ,sasa sijui ni wa 4m4 tu au vp, source ni tulioaplai kwa level ya chet Tunduru tumeambiwa hvyo

tunashukuru boss mkubwa kwa lonja yako hakika matumaini yanatudi tena[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]ngoja tusubir mkuuu [emoji1683][emoji1683][emoji1683][emoji1683]
 
Na umri pia mn hata km unezid miez miwili tu wanakutoa dadeki

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app

Kuna mkerewe mmoja alienda usaili fire yan anamiaka 24 tena anatimiza mwezi huu lakini wamemkata kisa hana miaka 23...[emoji23][emoji23]duuuh sio poah wakubwa hali tete...
 
Back
Top Bottom