bravocharlie
JF-Expert Member
- Feb 1, 2020
- 861
- 857
Inahitaji nia thabitiWanatak hadi passport za wadhamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahitaji nia thabitiWanatak hadi passport za wadhamini
Au we umeelewaje mkuu [emoji28]Haha [emoji38]....
Yako dodoma mkuuWakuu hivi makao makuu jkt yako dodoma ,au bado yako dsm ....
Mwenye kujua tafadhari
Watu washachagua watu wao .usaili ulishafanywa mikoani sijajua makao makuuWaungwana vip kuna aliyefanyiwa usaili wa fire umu kwenye huu Uzi ?
Mikoa mingine bado kakaWatu washachagua watu wao .usaili ulishafanywa mikoani sijajua makao makuu
Kiufupi mikoani wote washachagulwa watu wa kwenda fire
Ko mikoa ambayo hawajafanya imetoka iyo orLeo nilienda makao makuu ya zamani fire apo dsm......baada yakuona sijapigiwa simu nkaenda uliza wakanambia washafanya usaili siku nyingi na majina yashapelekwa dodoma.....na course wanaenda january
Aaah sawaSijajua apo.....lakini ninachojua kila mkoa ukishamaliza usaili wanapeleka majina dodoma,
Hapo ni walioomba dsm ndio majina yao yashaenda..
Hapo ndo unakuta mkoa unatoa watu wawil2 dahAaah sawa
Leo nilienda makao makuu ya zamani fire apo dsm......baada yakuona sijapigiwa simu nkaenda uliza wakanambia washafanya usaili siku nyingi na majina yashapelekwa dodoma.....na course wanaenda january
Jamaa twyn ivi ww si unasubiri msululu wa kutoka makao makuu magereza sasa inakuaje tena fire umetuma maomb mkoani wakat form 4 ndio walielekezwa watyme mkoaniJanuary....
Hivi majina hupelekwa dodoma kufanyaje?Sijajua apo.....lakini ninachojua kila mkoa ukishamaliza usaili wanapeleka majina dodoma,
Hapo ni walioomba dsm ndio majina yao yashaenda..
Hyo course ya January huwa ni ya nini?Leo nilienda makao makuu ya zamani fire apo dsm......baada yakuona sijapigiwa simu nkaenda uliza wakanambia washafanya usaili siku nyingi na majina yashapelekwa dodoma.....na course wanaenda january
Uhamiaji vipi ndo kimya kabisa, au Kuna watu wamepigiwa simu.
Hizi mambo bana za usaili , yan imagine majina uhamiaj ngaz ya taifa yan walotuma makao yanayoka afu mkoani bado dadekiUhamiaji vipi ndo kimya kabisa, au Kuna watu wamepigiwa simu.
Hizi nafasi zimekaa ovyo sanaHizi mambo bana za usaili , yan imagine majina uhamiaj ngaz ya taifa yan walotuma makao yanayoka afu mkoani bado dadeki
Au labda nahis lakn uhamiaji hawafanyishi usaili mkoani ila wanakusanya majina mkoani alafu wanayatuma makao alafu wote taifa zima usail unakua makaoHizi mambo bana za usaili , yan imagine majina uhamiaj ngaz ya taifa yan walotuma makao yanayoka afu mkoani bado dadeki