Hao wamepita mchujo wa awali, ko kuna mchujo mwingineHapo hawaja chujwa bado
Hao wamepita mchujo wa awali, ko kuna mchujo mwingine
Ao washaeka watu wao kilichobaki kupotezeana midaMagereza nao wapo mbioni....!
Ao washaeka watu wao kilichobaki kupotezeana mida
Hali sio haliWalio fanya usahili jana uhamiaji hali ilikuaje
Hali sio hali
Watu walikua wengi wanachukua 16 tu na kama uliomba nafasi zingine wanakufukuzaIlikuaje kk hebu tupe muhtasari
Watu walikua wengi wanachukua 16 tu na kama uliomba nafasi zingine wanakufukuza
Takukuru kwenyewe application zinagoma kwenda mkuuKati ya Wizara ya mambo ya ndani na TAKUKURU wapi kidogo kuna maslahi mkuu?
Connection achana nayo mzeeLakini mchawi wa kwanza ni CONNECTION wakubwa.......kama unayo connection hata uwe na urefu wa 5.0 unapweta tuu
Connection achana nayo mzee
Hiyo ni dawa ya magonjwa yote sugu yaani hata ukiamua usaili haufanyi mnakutana mafunzoni
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tupambane zitaenda tu mkuu maana wazee wa PGO na wizara yao kwa ujumla wamesha tukataa mkuuTakukuru kwenyewe application zinagoma kwenda mkuu
[emoji28][emoji28][emoji28]
Mapema tuTupambane zitaenda tu mkuu maana wazee wa PGO na wizara yao kwa ujumla wamesha tukataa mkuu
Mi hiyo nimeachana nayo ifikie kipindi hata kama sina ajira ila application zisinitese kiasi hichi [emoji1787][emoji1787]Takukuru kwenyewe application zinagoma kwenda mkuu
[emoji28][emoji28][emoji28]
Mi hiyo nimeachana nayo ifikie kipindi hata kama sina ajira ila application zisinitese kiasi hichi [emoji1787][emoji1787]
Bora wangesema tutume barua
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hawa jamaa wanazingua ukituma vitu haviendi inagoma.Haha [emoji38].....afande mbona unakata tamaa tena..?