Hana lonja huyuKuna lonja gani kaka?
Jwtz vpHana lonja huyu
Kwanini aseeMorali imekata kwenye huu uzi
Ishaisha mzee hangaikia michongo mingine saivWanasema inaisha Mpaka uone watu wametoka Kozi kabisa
Dr Ozil umeonaaaπππππππWanasema inaisha Mpaka uone watu wametoka Kozi kabisa
Yes
Wanasema imeisha mpk watu watoke kozi
Yaani tunasema unapoteza Imani ya kuwa imeisha mpk tu pale unaona Wadau wametoka Kozi.Ila Sasa ni bado mapema kukata tamaa .....Mpk Mwisho ndio utasema basii Mimi sikupangiwa kuwa Polisi au mwaka huu haikuwa ridhiki...Si Unajua tenaa
Au unasemaje Mwanangu.....