mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Kama ulikuwepo vilee hahahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama sio taarifa sahihi broMjiandae kuna nafasi ziko njiani pia za maafisa usalama viwanja vya ndege/aviation security officers chini ya Tanzania Airport Authority/KADCO(KIA) nao watataka uwe na cheti cha JKT uwe degree/diploma holder or less..
Kazi kwenu vijana hizi kazi tunawaachia damu changa.
Kuna mtu ameniambia week hii inayoanza kesho magereza wanatoa majina ya usaili wale wa taaluma
Japo ni lonja tu,ngoja tuon
Mzigo upo kama kawaida tena mzigo wa maana ushindwe wew kupiganishaWazee wa Tpdf mwaka huu hakuna?
Kama idadi gan vile mkuuMzigo upo kama kawaida tena mzigo wa maana ushindwe wew kupiganisha
Hii imekaa vip mkuuMbona kama sio taarifa sahihi bro
Kuna mwamba kasema 5000Kama idadi gan vile mkuu
Wengine tulipita mujibu kaka, hiyo habari yako mpya sasa🙂🙂🙂Wadau.......Hivi kale kauhakiki kwa watu wenye elimu za diploma na madgree kwa tpdf ngome kaliishiaga wapi au hakuna maajabu ya kale ka uhakiki ,au ulipita danganya toto nini ... mwenye vironja hatujuze hata kama azina kitu
5000 .... kihangaiko,OljoroKama idadi gan vile mkuu
Wadau wanasema tuvute subira
Vipi suala la umri kwa wazee wa bakabaka ?5000 .... kihangaiko,Oljoro
Daah ngoja tuone inakuwajeVipi suala la umri kwa wazee wa bakabaka ?
Nao ni 25 kurudi chini?
Ikiwa ivo bas italeta matumain wa vijanaKuna mwamba kasema 5000
Sifa damu ..wew piganisha mzee umri usikutishe hawana mambo mengi kama hawa kina namjua namjuaVipi suala la umri kwa wazee wa bakabaka ?
Nao ni 25 kurudi chini?
+mbanga(Mungu ndo kila kitu)Sifa damu ..wew piganisha mzee umri usikutishe hawana mambo mengi kama hawa kina namjua namjua
Sawa mkuu Mungu atutangulie tutakao jaribu endapo wakifungua vibogi kutoka mtaa.Sifa damu ..wew piganisha mzee umri usikutishe hawana mambo mengi kama hawa kina namjua namjua