hosny diab
Member
- Oct 16, 2021
- 58
- 6
Haijulikani but lazima kutakuwa na mkeka wa piliKabisa aiseeee
Kwahiyo wanasema bara watatoa majina mengi pia au
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Majina yametoka mangap humu jamanWazenji PDF ya PT haya mkaripoti CCP tar 10 View attachment 2003469
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Mtu angeombea zanziber jaman, ingekuwa shavu
Sana dah zenji wamepita na nyongeza juuu[emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787] kule utaskia
Yakheee mie ntoto wa hamy J kantuma nikawe jikamanda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Unataka nyongezi ipi kiongoziHaijulikani but lazima kutakuwa na mkeka wa pili
Tpdf Mara nyingi hua wana recruit askari kutoka makambini ...
So mlomaliza mikataba yenu km mm tukae kwa kutulia maana jwtz hua haiiitishi usaili wala application ni order tu inayotoka makao na majina