Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mbona kama sio taarifa sahihi bro
 
Mpaka sahv hakuna lolote,,kimya tunaisi wamepiga juu kwa juu au ndo system ka ya jw toa majina tukutane yawaliowachagua watu wakutane kiwila
Kuna mtu ameniambia week hii inayoanza kesho magereza wanatoa majina ya usaili wale wa taaluma


Japo ni lonja tu,ngoja tuon
 
Wadau.......Hivi kale kauhakiki kwa watu wenye elimu za diploma na madgree kwa tpdf ngome kaliishiaga wapi au hakuna maajabu ya kale ka uhakiki ,au ulipita danganya toto nini ... mwenye vironja hatujuze hata kama azina kitu
 
Wadau.......Hivi kale kauhakiki kwa watu wenye elimu za diploma na madgree kwa tpdf ngome kaliishiaga wapi au hakuna maajabu ya kale ka uhakiki ,au ulipita danganya toto nini ... mwenye vironja hatujuze hata kama azina kitu
Wengine tulipita mujibu kaka, hiyo habari yako mpya sasa🙂🙂🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…