Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Huu ushaisha muda wake....sahv watu wapo kwenye uzi wa Magereza na zimamoto kule
Nafkir bado koz kuna watu wa online waliitwa kwenye usahili, mkeka wao haujatoka. Tusubiria tuone

Kuna mdau alisema, kuna majina kama 700 hiv

Tuwe wapole wazee
 
Nafkir bado koz kuna watu wa online waliitwa kwenye usahili, mkeka wao haujatoka. Tusubiria tuone

Kuna mdau alisema, kuna majina kama 700 hiv

Tuwe wapole wazee
Kozi itakua mwez wa 12 rasmi kuanza labda
Wa online bado hayajatoka
Waliita watu 171
Lakin walifika hawazidi 120---

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom