Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Narudia tena tanga watu wamepita baadhi bila vigezo muhimu wengine hata interviews hawajakuwepo mtu unakutana naye maabara kupima hana habari na ssi jamaa alikuwa dhahiri kwanza alikuwa anajitenga kabisa na sisi mwisho yakawa yakukua me nina urefu wakutosha tu futi 5 na inchi 9 vyeti vipo kamili afya nzuri interview nimepiga vizuri. Tusidanganyane sijui urefu hata uwe ngongoti huna connection hupati hasa siye wa elimu ya kuanzia diploma six degree hutoboi kama huna connection
Pole sana kiongozi. Hiyo ndio Tanga shamba la bibi
 
Wazee walioomba magereza makao makuu naskia list ya majina ya usaili haifiki hata 150.
 
Back
Top Bottom