UZI UMEPOA
Nafkir bado koz kuna watu wa online waliitwa kwenye usahili, mkeka wao haujatoka. Tusubiria tuoneHuu ushaisha muda wake....sahv watu wapo kwenye uzi wa Magereza na zimamoto kule
Kozi itakua mwez wa 12 rasmi kuanza labdaNafkir bado koz kuna watu wa online waliitwa kwenye usahili, mkeka wao haujatoka. Tusubiria tuone
Kuna mdau alisema, kuna majina kama 700 hiv
Tuwe wapole wazee
Mzee na ww ulifanya usahili wa fani?Kozi itakua mwez wa 12 rasmi kuanza labda
Wa online bado hayajatoka
Waliita watu 171
Lakin walifika hawazidi 120---
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Ndio bro nawewe ulikuepo????Mzee na ww ulifanya usahili wa fani?
Mujibu or?Sie wengine tunasubiri lonja ya Kihangaiko na Oljoro
Mujibu or?
Tamko lipi kaka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]za ndani kabisa trh 23 tipiefu wanaweza kuja na tamko (chukua iyo)
Wafanye hvyoza ndani kabisa trh 23 tipiefu wanaweza kuja na tamko (chukua iyo)
23 tpdf nasikia
Inaweza ikawa, atuambie tuu utaratibu utakuwaje, kama polisi au?Mzee ya kweli hayaaa..????
Choo Cha Kulipia yupo ccp sa hivi
Inaweza ikawa, atuambie tuu utaratibu utakuwaje, kama polisi au?
Choo Cha Kulipia sijui kapotelea wapi huyu jamaa
Au yuko Kozi labda,Au kabadili IDHahahahaha dah jamaa ametuacha njia panda kabisaaa