Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nimeoa unataka kuwa penetration officer ama upande wa lindo, kama ni penetration officer angalau uwe na vigezo vya kufanya katisha taasisi yoyote ya serikali.
Nimekufuata PM tena
 
Sina cheti mkuu lkn ufundi rangi naujua vizuri .ntajiongeza huko huko .kuna majamaa walisomea veta lkn wapo slow wanaharibu kazi hadi mchina kawafukuza.me naamimi ufanisi wa kazi na ubora unaonekana kwenye kazi siyo makaratasi
Sasa kwenye usaili karatasi ni muhimu kuliko maneno matupu tu.
 
wakuu kwa anayefaham jins ya kuaplai,tunaambatanisha na nn ukiachana na barua , na lile tangazo la extensio kwa miaka ni la kweli?
Barua ya maombi vyeti husika vilivyotsjwa kwenye tsngazo yani cha kuzaliwa kitambulisho cha nida au namba ya nida . kuhusu kuongezwa ni kweli na leo tarehe 18 ndio mwisho . kwaiyo ni Jana ijumaa leo ni weekend
 
wakuu kwa anayefaham jins ya kuaplai,tunaambatanisha na nn ukiachana na barua , na lile tangazo la extensio kwa miaka ni la kweli?
Mbona maelekezo yote yapo kwenye lile tangazo la kwanza kabisa Mkuu? Rejea lile tangazo.Alafu muda umeisha pita jaribuni tena mwakani.
 
Vijana mkachanje alafu chanjo ya Uviko-19 msije sema sikuwapa lonja..msishangae getini pale chuoni usiingie kama hujachanja..
Duuh hii noma mkuu .. hatarii sana kwani waliopo ccp huko nao walipiga chanjo pia
 
Naomba taarifa vijana Dar Usail watafanya lini!?
 
Wale wa Dodoma vipi wao Usaili utakuwepo? Au Moja Kwa mojaaa
Hakuna ambaye hatofanyiwa usaili,Wa Dodoma MM hawa wa Astashahada,Stashahada,Shahada wanahitajika wasiozidi 200 hivyo watakaoitwa kwa usaili watakuwa wapo kwenye zaidi 90% kupata nafasi.

Mawili mnaweza kuitwa Dodoma MM au mkaitwa kila muombaji aende ofisi za RPC katika mkoa alipo.
 
Ile waliomaliza mwezi wa nne mwaka huu?? Na vp utaratib wao kuandikisha???
Mkuu Jeshi halikaririki kusema utaratibu ni hivi na hivi nitakudanganya,Jeshi linaweza kuandikisha Askari kulingana na mahitaji yake.

Mwaka jana wapo vijana wa JKT walipiga kozi RTS Kihangaiko na wengine wakapiga kozi Oljoro(hawa ni vijana wa kidato cha sita-science) na mwaka jana pia walichukua wataalamu wa afya kutoka mtaani wakapiga kozi,hivyo hawakaririki mkuu..
 
Back
Top Bottom