Fanya ivo mzee huenda wewe ndio ukawa IGP wetu miaka ya mbeleni uko.Mi najilipua mapema sana.
Anha!! Kumbeh!!.kwenye leaving wanacheki miaka uliyo jaza mzee baba, ndomana wanazidai,
mana mtu unaweza foji miaka huku chuo, na ikawa haifananai nayakwenye leaving zako. napia isifanane na kwenye document zako za primary
Sijakuelewa wanacheki miaka kivipi?kwenye leaving wanacheki miaka uliyo jaza mzee baba, ndomana wanazidai,
mana mtu unaweza foji miaka huku chuo, na ikawa haifananai nayakwenye leaving zako. napia isifanane na kwenye document zako za primary
Nimekuelewa kaka ,Ubarikiwe sanaMungu awatangulie wapiganaji,sema wengine punguzeni kupagawa,mnauliza maswali na maelekezo yapo wazi kabisa kwenye barua hiyo.
Pambaneni mkalitumikie Taifa.
Kuhusu maslahi niseme tu pesa ipo.
Kafanyeni kazi.
Kwenye leaving certificate kwa miaka ya hivi karibuni hawatoi ..mfano mm nilimaliza 4m4 2015 kwa shule yetu mwaka huo hazikutoka kabisa ..sasa sijajua mantiki yao ni nini
Nadhani mchakato unakua ndani ya mwezi mmoja after apo usaili unafanyikaHivi kwa zile nafasi za mwaka Jana za polisi zilizotoka kwa waliokuwa wakizifuatulia baada ya submission deadline kufika ilichukua muda gani kuitwa interview?? Mwezi au miezi miwili??
Na pia kuna mtu ananiambia kuwa wale wa form four waliopita jkt waliokuwa nje ya kambi wao walifanyia interviews mikoani kwao afu wale waliomba kupitia fani zao(professions zao) wao waliitwa dar es salaam wote na interview ikafanyika dar...ni kweli?
Inategemea na Mwaka uliomaliza basiInategemea na shule mkuu, mimi nilipata 2016.
Inategemea na shule pia maana kuna watu walimaliza 2016 na hawakupewa.Inategemea na Mwaka uliomaliza basi
Sawa sawa ...Tuombe tu Mungu AseeInategemea na shule pia maana kuna watu walimaliza 2016 na hawakupewa.
Yeah!! Ndio kikubwa mzee..!Sawa sawa ...Tuombe tu Mungu Asee
Asante Sana MkuuMungu awatangulie wapiganaji,sema wengine punguzeni kupagawa,mnauliza maswali na maelekezo yapo wazi kabisa kwenye barua hiyo.
Pambaneni mkalitumikie Taifa.
Kuhusu maslahi niseme tu pesa ipo.
Kafanyeni kazi.
Asante ndugu...ila Nina swali moja bado, si lazima waliitwa interview?? Maana hadi majina ya waliochaguliwa kutoka maanake waliitwa interview wakasailiwa au hawakufanya usaili walichagua huko huko jukwaju?Ajira zilizopita deadline ya maombi Ilikuwa 30/08/2021 na majina ya waliochaguliwa ilitoka 19/10/2021 almost miezi miwili na nusu.
Kuripoti makambini Ilikuwa 23-29/10/2021.
Usaili waliitwa na walifanyaAsante ndugu...ila Nina swali moja bado, si lazima waliitwa interview?? Maana hadi majina ya waliochaguliwa kutoka maanake waliitwa interview wakasailiwa au hawakufanya usaili walichagua huko huko jukwaju?
ivi saili zao huwa zipoje mkuu tupe ata lonja kidogoUsaili waliitwa na walifanya
Na kwale mliomaliza 2014 na 2015 msiache kuomba bado kigezo cha umri mnacho maana ktk hiyo miaka mpka sahivi hukosi 25 hata kama hamjamliza 2016 kama walivyosema we omba
Physical,afya,utimamu na viambatanishi vyote uwe navyo vinavyohitajika,usaili wa ngazi ya mkoa kikubwa zaidi ni connectionivi saili zao huwa zipoje mkuu tupe ata lonja kidogo