Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Traffic atakua anafika million na unusu 😅
 
Na wengi huwa wanapenda kwenda trafiki
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndgu zangun Tanzania tuna jeshi moja tu basi nalo ni JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA ( JWTZ) hayo mengn yoote ni idara tu mfano police na uhamiaj ni idara ya mambo ya ndani.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndgu zangun Tanzania tuna jeshi moja tu basi nalo ni JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA ( JWTZ) hayo mengn yoote ni idara tu mfano police na uhamiaj ni idara ya mambo ya ndani.
Naungana nawewe mkuu[emoji23]
 
Sawa nilijua kuna wizara ya jeshi la wananchi jwtz, so kumbe jwtz ipo chini ya wizara ya ulinzi.

Okay nimekuelewa kiongozi.
Jw iko chini ya wizara ya ulinzi. Ndio maana waziri wa ulinzi anaweza vaa kombati la jeshi akipendelea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndgu zangun Tanzania tuna jeshi moja tu basi nalo ni JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA ( JWTZ) hayo mengn yoote ni idara tu mfano police na uhamiaj ni idara ya mambo ya ndani.
Uhamiaji ilikuwa ni idara hvi karibuni ndio imepewa hadhi ya Jeshi,
 
Jwtz ipo chini ya wizara ya ulinzi, same applied na polisi, uhamiaji, magereza etc zipo chini ya wizara ya mambo ya ndani.

Au uwezo wangu ni mdogo kupambanua mambo ya kikatiba yenye uelewa mpana, naomba msaada hapa kiongozi.
 
HAta JWTZ ipo chini ya Wizara ya ulinzi na Jkt..kwahyo nayo ni idara??
Jw,Police,uhamiaji ,zimamoto haya yote ni majeshi na majuzi hivi wale wa uhifadhi misitu walibadilishwa kua jeshi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndgu zangun Tanzania tuna jeshi moja tu basi nalo ni JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA ( JWTZ) hayo mengn yoote ni idara tu mfano police na uhamiaj ni idara ya mambo ya ndani
 
Hivi nauliza kwenye vazi la Askari polisi wale wanaovaa rangi ya kaki na wale wanaovaa kijani wanatofauti gani au ni tofauti ya vitengo tu?
 
Umeniwahi tu kidogo
Jwtz ipo chini ya wizara ya ulinzi, same applied na polisi, uhamiaji, magereza etc zipo chini ya wizara ya mambo ya ndani.

Au uwezo wangu ni mdogo kupambanua mambo ya kikatiba yenye uelewa mpana, naomba msaada hapa kiongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…