Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nimekutana na mzee wa posta ananiambia kutuma barua kwa EMS sio sahihi maana njia ya EMS maombi hupelekwa kwa mkono. Imebidi nitume kwa posta ya kawaida sasa najiuliza haya maombi ya uhamiaji deadline ni tarehe 29 mwez huu, hawa jamaa wana weza ifikisha barua mwakani mwez wa kwanza kabisa maana njia yao utata mwingi.
 
Nimekutana na mzee wa posta ananiambia kutuma barua kwa EMS sio sahihi maana njia ya EMS maombi hupelekwa kwa mkono. Imebidi nitume kwa posta ya kawaida sasa najiuliza haya maombi ya uhamiaji deadline ni tarehe 29 mwez huu, hawa jamaa wana weza ifikisha barua mwakani mwez wa kwanza kabisa maana njia yao utata mwingi.
So kweli mkuu,upelekwaji wa hizo barua siyo kwa mkononi kama unavyojua wewe, NB mimi nilikuwa nawaza kama hivyo hivyo hadi jana nilipokwenda posta nikawauliza wakanielewesha
 
Nimekutana na mzee wa posta ananiambia kutuma barua kwa EMS sio sahihi maana njia ya EMS maombi hupelekwa kwa mkono. Imebidi nitume kwa posta ya kawaida sasa najiuliza haya maombi ya uhamiaji deadline ni tarehe 29 mwez huu, hawa jamaa wana weza ifikisha barua mwakani mwez wa kwanza kabisa maana njia yao utata mwingi.
Wakisema barua zitakazopelekwa kwa mkono wanamaanisha wewe ukipeleka kwa mkono wako kama vile maombi ya ngazi ya mkoa au wilaya waombaji hupeleka barua zao wao wenyewe kwa mikono yao na siyo posta [emoji28]
 
WatU hawajui haya...in short vijana wanaoingia vyombo vya ulinzi kwa miaka ya karibuni wanapata pesa nzuri kiasi tofauti na wale wa zamani walikuw hawan benefits nyingi
Nina jamaa yangu ni polisi na ka elimu kake ka "D" 3 ila kwa mwezi anaweza ingiza 900k na hapo bado vile vi hela vya brashi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahh ajira za police zimekua dili kias hiki wakat ni kaz zinazobezwa na kila mtu maslahi madogo mno yaan ukikaa nao wanavyolalamika hawana kitu acha tu hasa hawa walinda bank usiseme elfu kumi yao kwa cku imepita hio
Maslahi madogo ya polisi kulinganisha na sekta gani mkuu, pia wakati unaongea usijiweke kwenye kundi la watoto wa vibopa sisi wengi wetu tumetoka familia duni zinazohitaji usaidizi wetu hvyo n bora kupata kitu kuliko kukosa kabisa
 
Vijana tulieni kwa wale wenye elimu ya kuanzia Astashahada,Stashahada,Shahada waendelee kusubiria majina yatatolewa kupitia tovuti ya polisi.go.tz

Wale wa kidato cha nne na sita majina yao watayakuta kwenye mbao za matangazo katika ofisi za RPC,RC katika mikoa waliyoombea nafasi..

Tanga leo usaili unafanyika ofisi za RPC.
na walio zidi mwaka mmoja yani 31 inakuwaje hapo.
 
Back
Top Bottom