mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
wakuu nipo nautupia mkeka wa polisi hapa.hv S/N Unajaza nn pale kwenye kiambatanisho B cha polisi???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me nimeacha, apowakuu nipo nautupia mkeka wa polisi hapa.hv S/N Unajaza nn pale kwenye kiambatanisho B cha polisi???
pamoja mkuu intake hii jah atabless tu
Yes Unaweza bossWakuu hivi vile vyeti copy vilivyothibitishwa na hakimu ninaweza nikatoa copy nikawa naitumia kwa maombi mengine?
YaaahWakuu hivi vile vyeti copy vilivyothibitishwa na hakimu ninaweza nikatoa copy nikawa naitumia kwa maombi mengine?
Wengi wamesha panic,mtaani siyo poa eti.Ila wanaoomba kazi wanamaswali ambayo yapo kwenye tangazo kabisa[emoji3], nawaza hiyo interview mtakavyofarakana. Kila la kheri.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nyie ni Reserve msijiweke mbele na migambo yenuSisi tuliopitia mgambo mbona hamtujali ila kwenye kukamata walevi ndo mnajidai kutuita kisa mnaogopa manundu hii haipo sawa
Mwaka jana polisi walitaka kwa njia ya posta na watu wengi walitumia njia ya EMS na kwenye usaili waliitwa. Sidhani kama ukitumia EMS kuwa barua zako zitakataliwa. Hapana.Napata ukakasi kuhusu hayo maelekezo apo chini View attachment 2445680
Kuna mtu hakuitwa na alitumia EMS na me ndiyo nilienda tumaM
Mwaka jana polisi walitaka kwa njia ya posta na watu wengi walitumia njia ya EMS na kwenye usaili waliitwa. Sidhani kama ukitumia EMS kuwa barua zako zitakataliwa. Hapana.
Kuna mtu hakuitwa na alitumia EMS na me ndiyo nilienda tuma
ni afadhali teni ya polisi lindo kuliko kukaa mtaa pasipo mishe yoyoteDahh ajira za police zimekua dili kias hiki wakat ni kaz zinazobezwa na kila mtu maslahi madogo mno yaan ukikaa nao wanavyolalamika hawana kitu acha tu hasa hawa walinda bank usiseme elfu kumi yao kwa cku imepita hio
Polisi imefanyiwa marekebisho makubwa siku hizi tofauti na miaka ya nyuma kidogo.Dahh ajira za police zimekua dili kias hiki wakat ni kaz zinazobezwa na kila mtu maslahi madogo mno yaan ukikaa nao wanavyolalamika hawana kitu acha tu hasa hawa walinda bank usiseme elfu kumi yao kwa cku imepita hio
WatU hawajui haya...in short vijana wanaoingia vyombo vya ulinzi kwa miaka ya karibuni wanapata pesa nzuri kiasi tofauti na wale wa zamani walikuw hawan benefits nyingiPolisi imefanyiwa marekebisho makubwa siku hizi tofauti na miaka ya nyuma kidogo.
Polisi ana basic salary.
Ana ration na hela ya vinywajii.
Bàdo akiingia guard na escort analipwa vile vile.
Sent using Jamii Forums mobile app