Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Dar ni mkoa mgumu sana kwa kweli kwa mtu kama huna connection kupenya(sikukatishi tamaa lakini) ila Dar niijuavyo ah watoto wa baba kanituma ni wengi sana,heri ukaombee nafasi huko Kigoma,Rukwa,Katavi watu mwamko bado ni mdogo ila siyo Dar,Arusha,Mwanza,Iringa,Mbeya,Morogoro,Pwani,Dodoma nk..Naomba taarifa vijana Dar Usail watafanya lini!?
Mkuu form six wanahitajika kiasi ganiHakuna ambaye hatofanyiwa usaili,Wa Dodoma MM hawa wa Astashahada,Stashahada,Shahada wanahitajika wasiozidi 200 hivyo watakaoitwa kwa usaili watakuwa wapo kwenye zaidi 90% kupata nafasi.
Mawili mnaweza kuitwa Dodoma MM au mkaitwa kila muombaji aende ofisi za RPC katika mkoa alipo.
Akuona mtaalam unafanya Analyst jobDar ni mkoa mgumu sana kwa kweli kwa mtu kama huna connection kupenya(sikukatishi tamaa lakini) ila Dar niijuavyo ah watoto wa baba kanituma ni wengi sana,heri ukaombee nafasi huko Kigoma,Rukwa,Katavi watu mwamko bado ni mdogo ila siyo Dar,Arusha,Mwanza,Iringa,Mbeya,Morogoro,Pwani,Dodoma nk..
Usishangae wa Dar wakaitwa kimya kimya.
Kama nafasi ni zaidi ya 3200 na elimu kuanzia astashahada mpaka shahada hawazidi 200 ina maana kidato cha nne na sita watakuwa zaidi ya 3000.Mkuu form six wanahitajika kiasi gani
Kweny tangazo wamesema 173 kwa form six .hii kijeshi ni kiasi ganiKama nafasi ni zaidi ya 3200 na elimu kuanzia astashahada mpaka shahada hawazidi 200 ina maana kidato cha nne na sita watakuwa zaidi ya 3000.
Hapo nimekusoma KiongoziHakuna ambaye hatofanyiwa usaili,Wa Dodoma MM hawa wa Astashahada,Stashahada,Shahada wanahitajika wasiozidi 200 hivyo watakaoitwa kwa usaili watakuwa wapo kwenye zaidi 90% kupata nafasi.
Mawili mnaweza kuitwa Dodoma MM au mkaitwa kila muombaji aende ofisi za RPC katika mkoa alipo.
Hakuna nadhan rejea tangazo la mwanzo . kutoka makao makuuMkuu ina maana wanasheria hawatachukuliwa hta mmoja, nipe lonja
Mkuu hv uhamiaji wao utaratib wao upo wa kujiunga upo vipi??Mkuu Jeshi halikaririki kusema utaratibu ni hivi na hivi nitakudanganya,Jeshi linaweza kuandikisha Askari kulingana na mahitaji yake.
Mwaka jana wapo vijana wa JKT walipiga kozi RTS Kihangaiko na wengine wakapiga kozi Oljoro(hawa ni vijana wa kidato cha sita-science) na mwaka jana pia walichukua wataalamu wa afya kutoka mtaani wakapiga kozi,hivyo hawakaririki mkuu..
Hakuna ambaye hatofanyiwa usaili,Wa Dodoma MM hawa wa Astashahada,Stashahada,Shahada wanahitajika wasiozidi 200 hivyo watakaoitwa kwa usaili watakuwa wapo kwenye zaidi 90% kupata nafasi.
Mawili mnaweza kuitwa Dodoma MM au mkaitwa kila muombaji aende ofisi za RPC katika mkoa alipo.
Kama nafasi ni zaidi ya 3200 na elimu kuanzia astashahada mpaka shahada hawazidi 200 ina maana kidato cha nne na sita watakuwa zaidi ya 3000.
Police ni waungwana sana, watazibana vyemaNaombeni kuuliza kuna jamaa ana diploma alituma maombi posta ila zile document zake i.e vyeti hakuzibana na pini kwa pamoja et inaweza leta shida..??
Yani unatuma vyeti na barua hujazibana kwa pamoja hauko siliasi mkuuNaombeni kuuliza kuna jamaa ana diploma alituma maombi posta ila zile document zake i.e vyeti hakuzibana na pini kwa pamoja et inaweza leta shida..??
Bahati mbaya tu hyo mkuuYani unatuma vyeti na barua hujazibana kwa pamoja hauko siliasi mkuu
Kweli kabisa mkuu hawana shida kabisaPolice ni waungwana sana, watazibana vyema
Uhamiaji hawana tofauti na PT mwaka juzi ndiyo mara ya mwisho kuajiri na kozi yao walipigia CU Kimbini JKT.Mkuu hv uhamiaji wao utaratib wao upo wa kujiunga upo vipi??
Uhamiaji hawana tofauti na PT mwaka juzi ndiyo mara ya mwisho kuajiri na kozi yao walipigia CU Kimbini JKT.
Walichukua vijana waliopitia JKT wenye Shahada na Stashahada za Juu ila wao wanachukua sana hizi kozi za social science sana.
Ila kwa kuwa sasa Uhamiaji limekuwa jeshi kamili lazima mwaka huu waajiri askari wengi sana kama idadi hii ya PT ili wakidhi vigezo vya kuitwa Jeshi kweli.
Muda wowote SACP,msemaji wa jeshi la polisi atatoa GO AHEAD ya usaili kwenye tovuti yao na kupitia kwa vyombo vya habari ila kuna uwezekano wiki ijayo watu wakaanza usaili kwa mikoa mingiKuna issue gani mkuu..mbona wasema kuanzia leo tuwe online