Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,565
Sure kbs, hapo ndugu yangu probability ni ndogo sana, labda km imeandikwamagereza ndio unaweza kutoboa kirahisi.ila jw na migration kutoboa pasipo mtu wa kukushika mkono.uombe mungu sana
Tusichokijua:[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Jeshi la polisi Tanzania limetangaza nafasi za kazi, kwa maelekezo zaidi soma[emoji116]
View attachment 1897057View attachment 1897058
Yaah.. Kuna majamaa zangu kadhaa wametoboa magereza na wala hawakua na mibuyumagereza ndio unaweza kutoboa kirahisi.ila jw na migration kutoboa pasipo mtu wa kukushika mkono.uombe mungu sana
Tusichokijua:[emoji91][emoji91][emoji91][emoji9
but mungu ata bless tuYaah.. Kuna majamaa zangu kadhaa wametoboa magereza na wala hawakua na mibuyu
Tulinde damu,, tunywe maji mengi.hzi kazi za majeshi mwka wa pili huu bdo nazisotea .lkn tusife moyo wakongwe na madogo pia wanaonza kuzifukuzia jah abless tuingie kichaka miba ama ccp
yaah mkuu nakumbuka mafinga jkt,walichukuaga mujibu waliosoma sayansi na wenye performance ya juu zari nikalikosa . nimehitimu bdo napambania niingie chomboni awamu hiiTulinde damu,, tunywe maji mengi.
Mafinga mwaka gan??yaah mkuu nakumbuka mafinga jkt,walichukuaga mujibu waliosoma sayansi na wenye performance ya juu zari nikalikosa . nimehitimu bdo napambania niingie chomboni awamu hii
Kikubwa ni kutokukata tamaa mpaka kielewe as long as umri haujatutupa mkono baadhi.yaah mkuu nakumbuka mafinga jkt,walichukuaga mujibu waliosoma sayansi na wenye performance ya juu zari nikalikosa . nimehitimu bdo napambania niingie chomboni awamu hii
2015-17 range hiyo mkuu.Mafinga mwaka gan??
hawa uhamiaji huwa awa cheleweshi kbsa.nakumbuka post za mwaka jana kuna mwanetu alijua tangazo la kuitwa kazini linatoka lini la uhamiaji. kifupi wakuu dua na connection ndio zitafanya tuwepo kwenye pdfKikubwa ni kutokukata tamaa mpaka kielewe as long as umri haujatutupa mkono baadhi.
Round hii kila muhitaji wa uzi huu apate amen.
sasa apo kwenye connection ndo changamoto mkuu sjui tunazitoa wap aseehawa uhamiaji huwa awa cheleweshi kbsa.nakumbuka post za mwaka jana kuna mwanetu alijua tangazo la kuitwa kazini linatoka lini la uhamiaji. kifupi wakuu dua na connection ndio zitafanya tuwepo kwenye pdf
unajua immigration ni nyeti sana so kutinga sio kirahisi tofauti na magereza wana kibao wanaingia. mm tu magereza sijawahi kuipenda hta kuaplai sijawahi ila ile wahuni wengi wametoboa kwenda kiwirasasa apo kwenye connection ndo changamoto mkuu sjui tunazitoa wap a
Kuna mwana ana bro ake jwtz uko alikua ananiambia salary za immigration na tpdf hazitofautiani sana huenda ndomana pagumu kutoboaunajua immigration ni nyeti sana so kutinga sio kirahisi tofauti na magereza wana kibao wanaingia. mm tu magereza sijawahi kuipenda hta kuaplai sijawahi ila ile wahuni wengi wametoboa kwenda kiwira
Uku imigration unaweza ombea ata cheti cha sixunajua immigration ni nyeti sana so kutinga sio kirahisi tofauti na magereza wana kibao wanaingia. mm tu magereza sijawahi kuipenda hta kuaplai sijawahi ila ile wahuni wengi wametoboa kwenda kiwira
Yaani hapo ndio balaa, kuipata. Nikikutana na polis mmoja hivi akaniuliza umeomba nafasi maana alijua mm ni muhitimu wa chuo kwa namna tulivyokutana pale. Nikamwambia yeah nimeziona akanishauri Kaombe maana saivi ajira ni ngumu ila ungekuwa na mtu ingekuwa rahisi zaidi lkn usiache kujaribu kwasababu huwezi jua. Yeye sasa[emoji3] Akaniambia mm nilitafuta kazi weeeh sikupataga sasa zikatangazwa za jeshi nilikuwa na mtu nikapigiwa simu nikaenda tena huku nalindwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nikasema duuh!!! Nikaingia kozi mpk sasa nipo kazini na ni kijana tu. Nikaona watu tunauwezo wa kurahisishiana sana tofauti na hapo ni DUA TU NS KUDRA ZA MWENYEZI MUNGU zikitimia na ikiwa imeandikwa basi lazima tutapata tu, Tusikate tamaa tuendeleeni kujaribu kwa nafasi zetu...sasa apo kwenye connection ndo changamoto mkuu sjui tunazitoa wap asee
scale za tpdf ni kubwa kuliko immigration.ila immigration ina in and out kibao na mazingira ya kazi mazuri mkuu wangu ila salary scale zina range sawa na majeshi mengine ya wizara ya mambo ya ndaniKuna mwana ana bro ake jwtz uko alikua ananiambia salary za immigration na tpdf hazitofautiani sana huenda ndomana pagumu kutoboa