mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
uzi mzuri sana.tuendelee kupeana updates
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ushaona wanatangaza kazi mkuu?Hivi TISS inakuaje kule wazee napo mbona pagumu[emoji16]
Hao si wanakatwa bogi kule CCP mkuuHivi TISS inakuaje kule wazee napo mbona pagumu[emoji16]
Nilivyosikia hao wapelelezi wanakatwa bogi huko huko CCP,ko ni bahati tuHivi TISS inakuaje kule wazee napo mbona pagumu[emoji16]
tiss most hufanya vetting kupitia mtu aliye kule ndani ,akijiridhisha ana ku recommend kujiunga na team yao. so kabla ya yote wanapenda sana kujua background ya mtu ,pili tusichanganye wakuu coz kuna tofauti kati ya Tiss na investigation police japo majukumu yanaendana ila ni position mbili tofauti wakuu,nawasilisha.Hivi TISS inakuaje kule wazee napo mbona pagumu[emoji16]
Upelelezi ni idara ndani ya polisi. TISS ni usalama wa taifa. Polisi na TISS ni taasisi mbili tofauti. Tusichanganye.Nilivyosikia hao wapelelezi wanakatwa bogi huko huko CCP,ko ni bahati tu
Hahahah unajipa moyo aise ...Hao si wanakatwa bogi kule CCP mkuu
huwa wanaenda kimyakimya kuna washkaj wawil walichukuliwa tukiwa kambin wamemaliza coz mwez wa 8Hao si wanakatwa bogi kule CCP mkuu
Kutoka kambi ganhuwa wanaenda kimyakimya kuna washkaj wawil walichukuliwa tukiwa kambin wamemaliza coz mwez wa 8
vetting & recommendation hiyo mkuuhuwa wanaenda kimyakimya kuna washkaj wawil walichukuliwa tukiwa kambin wamemaliza coz mwez wa 8
aiseeh umenifurahisha,nimeshawishika kusend maranyingine hata kama hawajanitumia ujumbe wowoteeSafi Sana,mana hata mimi nimetuma mara nyingi nyingi wakati natuma
Asante kwa kunipa elimu nilikuwa nachanganya kweli🙏Upelelezi ni idara ndani ya polisi. TISS ni usalama wa taifa. Polisi na TISS ni taasisi mbili tofauti. Tusichanganye.
Pamoja kaka....polisi kuna idara nyingi. Mkikaribia kumaliza mafunzo kamishen zinakuja kuchagua vijana wao...so mwisho wa siku unaweza ukaingia... Intel, au FFU, au forensic bureau(FB)...na zinginezo. Ila FB kwa polisi ndio naikubali sanaAsante kwa kunipa elimu nilikuwa nachanganya kweli🙏
Ipoje iyo FB,majukumu YaoPamoja kaka....polisi kuna idara nyingi. Mkikaribia kumaliza mafunzo kamishen zinakuja kuchagua vijana wao...so mwisho wa siku unaweza ukaingia... Intel, au FFU, au forensic bureau(FB)...na zinginezo. Ila FB kwa polisi ndio naikubali sana
Hahahahaha sawa Mr.Lakitatu sio ndogo tuendelee kupambania Kombe
Pia msiwe wachoyo lazima mtoe kitu plus connectionHahahahaha sawa Mr.