Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kuna mtu hajawahi kutamani kitenge?? hawa maaskari wa umoja wa mataifa nasikia wanakunja parefu kuliko hata maafsa wa Jw ambao hawajaenda kutuliza gasia.

hili jeshi tamu ila sifa kitengo.
 
Nasikia hii ndio sababu ya kupigwa intro nzito mkifika CCP wanaamin kuwa mliotoka jakata mnawadharau so mnakula kazi ya kuwakaribisha muone πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila dah course ya polisi ndefu. Dogs langu alikaa zaidi ya miezi 9 aliingia na form 4 baada ya kujitolea na D zake 2.. kaka mtu na degree yangu nahaha saivπŸ˜‚
 
Baba hata wapige intro ya namna gan scale yake haitazid niliopigw pale 835 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…