Xavee
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 424
- 636
Madogo walokuwa na 4 za 28, 29, na 30 kwa mwaka jana kwao ilikuwa ni kitonga!! Hsikujalisha kimo hadi wafupi walipata shavu.Nasikia hii ndio sababu ya kupigwa intro nzito mkifika CCP wanaamin kuwa mliotoka jakata mnawadharau so mnakula kazi ya kuwakaribisha muone [emoji23][emoji23][emoji23] ila dah course ya polisi ndefu. Dogs langu alikaa zaidi ya miezi 9 aliingia na form 4 baada ya kujitolea na D zake 2.. kaka mtu na degree yangu nahaha saiv[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app