Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hahahahahahhaha
 
Matapeli wengi sasa mbanga inatakiwa ajitolee mwenyewe kwa moyo wake mfano kuna sajent wa JW alikuwa kapanga home mwamba alipigiwa pande na meja jenaral from kitaa to RTS bila kupita JKT mwaka 2015 now ni sajent na elimu ni form four
Sasa tuliokuwa kitaa mkuu ni kipengere mno mpka kuja kuingia jw kama hauna mbanga ni mateso asee
 
Haahaaa poapoa mkuu huyo jambazi atakuwepo kweli mtaani sahv? Au ndo umkamate km golden state killer aliyefanya ubakaji na mauaji mengi miaka ya 70 huko California marekani akaja kukamatwa mwaka 2018 tiyari kikongwe[emoji16]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…