methodinho
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 489
- 549
HahahahahahhahaTPA hakuna hela kihivyo...na ukitokea ukawa mpigaji basi maisha yako ya uraiani ni mafupi saana
Sio kila kitengo kina hela TPA sasa mimi electrical engineer napatia wap hela mbali na mshahara
Mimi nataka kazi ambayo nahudumia wananchi direct na nataka nipambane na jambazi eliyetuibia t.v. yetu ya kichogo mwaka 79 baada ya vita ya kagera
Daaah kweli mkuuMatapeli wengi sasa mbanga inatakiwa ajitolee mwenyewe kwa moyo wake mfano kuna sajent wa JW alikuwa kapanga home mwamba alipigiwa pande na meja jenaral from kitaa to RTS bila kupita JKT mwaka 2015 now ni sajent na elimu ni form four
Sasa tuliokuwa kitaa mkuu ni kipengere mno mpka kuja kuingia jw kama hauna mbanga ni mateso aseeMatapeli wengi sasa mbanga inatakiwa ajitolee mwenyewe kwa moyo wake mfano kuna sajent wa JW alikuwa kapanga home mwamba alipigiwa pande na meja jenaral from kitaa to RTS bila kupita JKT mwaka 2015 now ni sajent na elimu ni form four
Watu wanataka TRA, na traffic ndio Kuna helaKuna mtu hajawahi kutamani kitenge?? hawa maaskari wa umoja wa mataifa nasikia wanakunja parefu kuliko hata maafsa wa Jw ambao hawajaenda kutuliza gasia.
hili jeshi tamu ila sifa kitengo.
View attachment 2456122
Kama hauna connection kabisa nakushauri tumia mbinu za kimedani upate mbangaDaaah kweli mkuu
Mbinu za kimedani ndio zipi hzo mkuuKama hauna connection kabisa nakushauri tumia mbinu za kimedani upate mbanga
Kamvamie mkubwa yoyote ngome kawe mlilie sana shida.Mbinu za kimedani ndio zipi hzo mkuu
Ngome kawe unamaanisha pale makao makuu ya jkt mkuuKamvamie mkubwa yoyote ngome kawe mlilie sana shida.
Haahaaa poapoa mkuu huyo jambazi atakuwepo kweli mtaani sahv? Au ndo umkamate km golden state killer aliyefanya ubakaji na mauaji mengi miaka ya 70 huko California marekani akaja kukamatwa mwaka 2018 tiyari kikongwe[emoji16]TPA hakuna hela kihivyo...na ukitokea ukawa mpigaji basi maisha yako ya uraiani ni mafupi saana
Sio kila kitengo kina hela TPA sasa mimi electrical engineer napatia wap hela mbali na mshahara
Mimi nataka kazi ambayo nahudumia wananchi direct na nataka nipambane na jambazi eliyetuibia t.v. yetu ya kichogo mwaka 79 baada ya vita ya kagera
YeahNgome kawe unamaanisha pale makao makuu ya jkt mkuu
Upo dar sehemu gani?Ngome kawe unamaanisha pale makao makuu ya jkt mkuu
TMA ni military science wa mwaka janaNaskia kuna wengine wameenda TMA
Dah ni hatareeeYeah
Nipo pande za pwani mkuuUpo dar sehemu gani?
Tukutane Boma mkuu. Nitakuw pale πkupata koneksheni kwa kumvamia yeyote sio rahisi wakuu. kama unafaitia koneksheni anzia kwenye jamii yako kuna wazee wana koneksheni za kutosha
Hapa mkuu kama naanza kukuelewakupata koneksheni kwa kumvamia yeyote sio rahisi wakuu. kama unafaitia koneksheni anzia kwenye jamii yako kuna wazee wana koneksheni za kutosha
Ushachaguliwa mkuuTukutane Boma mkuu. Nitakuw pale π
Ushachaguliwa mkuu