methodinho
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 489
- 549
HahahahahahhahaTPA hakuna hela kihivyo...na ukitokea ukawa mpigaji basi maisha yako ya uraiani ni mafupi saana
Sio kila kitengo kina hela TPA sasa mimi electrical engineer napatia wap hela mbali na mshahara
Mimi nataka kazi ambayo nahudumia wananchi direct na nataka nipambane na jambazi eliyetuibia t.v. yetu ya kichogo mwaka 79 baada ya vita ya kagera