Majukumu ya wale wanaopangwa bandarini yanakua kupiga guard tu ama?Mimi nina mipango yangu na UT ndio maana napataka huko. Huo ufree ambao hata kwenda weekend hakuna ndio nautaka pia πππ. Naelewa kabisa PT mtu unaweza piga deal nyingi sana na kama sio mweledi utavuta pesa ndefu tu kwa kutumia vazi/ crown yako maana PT anaingia kila sehemu tofauti na UT officer. Dogo langu kapangwa hapo bandarini PT katoka juzi tu hapo CCP najua atapiga pesa tu hapo kama asipokuw mweledi atazikusanya sana tu.
kiwira pale kama hujajipanga ,unaachia kozi njiani. kwenye ule uzi wa magereza wana kibao walikua wnatuibia lonja jinsi watu wanavokimbia kozi ya magereza ikafika hatua wkapokonywa hadi vyeti vya taalumaMagereza wanapiga kozi makini sana hilo halina ubishi
nalielewa hilo jambo vyema...kiwira pale kama hujajipanga ,unaachia kozi njiani. kwenye ule uzi wa magereza wana kibao walikua wnatuibia lonja jinsi watu wanavokimbia kozi ya magereza ikafika hatua wkapokonywa hadi vyeti vya taaluma
Pumbafu ni manini ayo umeandika, ko unafikir we mfwende utapewa kitengo kip kati ya ivyo. Nonsense. Kwanza kazi yenyewe hutopata! Umepoteza bure pesa zako za postawe mbuzi ngoja nikutajie
workpermits,bandarini,airports, godown, citizenship permit,entry and exit points, national and international organized crimes, UN agency i.e IOM agency ,investment permits Nk
kumbe la saba B,samahani mkuuPumbafu ni manini ayo umeandika, ko unafikir we mfwende utapewa kitengo kip kati ya ivyo. Nonsense. Kwanza kazi yenyewe hutopata! Umepoteza bure pesa zako za posta
Dah kaka umekua Mungu wa kumpangia mtu kupata au kutopata ππ.? Mungu akimfungulia mlango atapata..asipomfungulia atakosa. Yote maisha tu riziki ipo kokotePumbafu ni manini ayo umeandika, ko unafikir we mfwende utapewa kitengo kip kati ya ivyo. Nonsense. Kwanza kazi yenyewe hutopata! Umepoteza bure pesa zako za posta
sio poa mkuuSasa maaskari mnaanza kua kama raia aise...mnaanzaje kutoleana maneno yasiyofaa
awe na akiba na maneno yake. naona dgo amekua munguDah kaka umekua Mungu wa kumpangia mtu kupata au kutopata ππ.? Mungu akimfungulia mlango atapata..asipomfungulia atakosa. Yote maisha tu riziki ipo kokote
IUzuri wa UT ni mmoja tu kupanda vyeo ni rahisi...
Halafu ukituma ile email, unatakiwa uandike Message au ni kutuma attachments basi??Jana ndo ilikua deadline Yao kutuma maombi , Leo kubeti waweza kujaribu pia ila usijipe imani sana ,maana uko nje ya muda
pia kigezo cha kumaliza formfour 2021 na umri pia ulizuia watu kuomba mkuuWalioingia zaman walifaidi sana asee. Mabega yakichafuka raha sana. Pia Zimamoto pia kuna urahisi. Watu mliogopa kuomba kule proffesionals kutokana na wao kutaka form 4 tu ila nakuambia kwenye interview wataita na proffesionals. Nakuibia lonja.
I
Ni kweli ila kuna proffesionals wanahitajika . Baadhi ya waliojiongeza na kutuma wataitwa kwa usaili.pia kigezo cha kumaliza formfour 2021 na umri pia ulizuia watu kuomba mkuu
ni afadhali ukaweka brief ,maneno kidogo then attachmentHalafu ukituma ile email, unatakiwa uandike Message au ni kutuma attachments basi??
pia kigezo cha kumaliza formfour 2021 na umri pia ulizuia watu kuomba mkuu
profession zipi hzo mkuuNi kweli ila kuna proffesionals wanahitajika . Baadhi ya waliojiongeza na kutuma wataitwa kwa usaili.
profession zipi hzo mkuu
Halafu ukituma ile email, unatakiwa uandike Message au ni kutuma attachments basi?