mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
kila la kheri mkuu. uzuri zimamoto ni watoto wa mjini na hawna majukumu mengiParamedics, engineers (electric, marine, ITs, civil), proffesional drivers na zingine mwamba mmoja kanipa lonja yupo huko.
Duh mkuu umejuaje, au upo ndani kabisa kwenye systemWakipokea maombi yako kwa kuchelewa huku basi utakuw na bahati kubwa sana ndugu maana maombi ya online ni kama tayari yameshakuwa processed. Yani yalivyokuwa yanatumwa ndivyo ambavyo wana walikuw wanayapreview na kuyapanga. Ila usikate tamaa. Try your lucky.
Halafu ukituma ile email, unatakiwa uandike
Halafu ukituma ile email, unatakiwa uandike Message au ni kutuma attachments basi??
Commissioner wa rasilimali watu yule mama si unamjua vizuri? Basi anataka kazi ziende. Jamaa yupo sahihi. Wanaweza kutoa " grace period" kwa mliochelewa. Ila boss muda wote huo ulikuw wapi na wewe?Duh mkuu umejuaje, au upo ndani kabisa kwenye system
Duh mkuu umejuaje, au upo ndani kabisa kwenye system
*****[emoji28] sio poa.kiwira pale kama hujajipanga ,unaachia kozi njiani. kwenye ule uzi wa magereza wana kibao walikua wnatuibia lonja jinsi watu wanavokimbia kozi ya magereza ikafika hatua wkapokonywa hadi vyeti vya taaluma
Hahaha kuna muhuni mmoja hivi IT kapangwa huko umenikumbusha asee ila yule kavuna course dadek tangu anafika kapata tengo ofisini yani course kaipiga porini tu maana kule huwez pakwepa πππKuna maclassmate maIT walipangwa huko HQ Dodoma wanayapokea hayo maombi ndio kazi yao hiyo walikuw wanakesha nayo.
Wakuu tusifikie huku sasa.Pumbafu ni manini ayo umeandika, ko unafikir we mfwende utapewa kitengo kip kati ya ivyo. Nonsense. Kwanza kazi yenyewe hutopata! Umepoteza bure pesa zako za posta
Mwamba alikuw ananisimulia yan hadi angani walikuw hawamfahamu maana alikuw hashindi kabisa huko siku akarudi angan akakuta godoro..begi lake halipo. Anauliza wana limeenda wapi, wakaanza kumshangaa tu maana walikuw hawamjui. Ndio akahamisha kabisa makazi ππππHahaha kuna muhuni mmoja hivi IT kapangwa huko umenikumbusha asee ila yule kavuna course dadek tangu anafika kapata tengo ofisini yani course kaipiga porini tu maana kule huwez pakwepa πππ
nlikuwa sina taarifA mkuu...ile nimetuma sasaiviCommissioner wa rasilimali watu yule mama si unamjua vizuri? Basi anataka kazi ziende. Jamaa yupo sahihi. Wanaweza kutoa " grace period" kwa mliochelewa. Ila boss muda wote huo ulikuw wapi na wewe?
Ahaaa,waambie basi watuconsider sisi wachelewajiKuna maclassmate maIT walipangwa huko HQ Dodoma wanayapokea hayo maombi ndio kazi yao hiyo walikuw wanakesha nayo.
Kuna watu wanaangushiaga sana kozi asee πMwamba alikuw ananisimulia yan hadi angani walikuw hawamfahamu maana alikuw hashindi kabisa huko siku akarudi angan akakuta godoro..begi lake halipo. Anauliza wana limeenda wapi, wakaanza kumshangaa tu maana walikuw hawamjui. Ndio akahamisha kabisa makazi ππππ
Na dua za kutosha Askari wanguAhaaa,waambie basi watuconsider sisi wachelewaji
kila la kheri mkuu. uzuri zimamoto ni watoto wa mjini na hawna majukumu mengi
Yah ofcoz, kama ipo ipo tuNa dua za kutosha Askari wangu
SureYah ofcoz, kama ipo ipo tu
Vitengo mzee. Nina wana kibao intake iliyopita yan walipofika kule ni tengo mwanzo mwisho ππ porini ndio waliipata maana mkuu wa mafunzo ya pori hataki kusikia kitu kinaitwa kitengo. Yeye anakwambia anatoa askari. Kitengo pembeni.Kuna watu wanaangushiaga sana kozi asee π
Yah ofcoz, kama ipo ipo tu
Yule Mwamba ni kamanda asee. Yani mnaweza mchukia ila jamaa anatoa askari. Anaweza akawapa kazi kisa mmeoga vizur na kupendeza au umepaka pafyumu π. Anakuambia askari upo porini unanukia pafyumu, hapana. Mnaanza maovyo ovyo...au usiombe mpo pori afu Yanga ikafungwa mtakula kazi ππππ ila at the end mnazoeaVitengo mzee. Nina wana kibao intake iliyopita yan walipofika kule ni tengo mwanzo mwisho ππ porini ndio waliipata maana mkuu wa mafunzo ya pori hataki kusikia kitu kinaitwa kitengo. Yeye anakwambia anatoa askari. Kitengo pembeni.
All the best kamandaYah ofcoz, kama ipo ipo tu